Find WhatsApp Channels

Discover the best WhatsApp channels for news, entertainment, education and more. Our powerful search helps you find exactly what you're looking for.

Channels & Posts for #kanada

Posts

Telekom-Aktie und NASDQ-Aktie T-Mobile US fallen: Softbank stößt T-Mobile-Anteile im Milliardenwert ab

Hallo zusammen 😄 Der deutsche Aktienmarkt präsentiert sich am Dienstag schwach 📉 Zuletzt hatten ...

Kanzlergattin Charlotte Merz im Rampenlicht beim G7-Gipfel

Noch bevor der G7-Gipfel in Kanada richtig losgegangen ist, haben sich alle Augen auf Merz gerichtet...

KLASEMEN Formula 1 usai George Russell Juara F1 GP Kanada 2025! Oscar Piastri Tambah Keunggulan - Tribunpontianak.co.id

Update klasemen Formula 1 usai hasil race F1 GP Kanada 2025. F1 GP Kanada 2025 resmi berakhir denga...

HASIL Race Utama F1 GP Kanada 2025 George Russell Raih Kemenangan Pertama! Piastri Finish Keempat - Tribunpontianak.co.id

George Russell menjuarai F1 GP Kanada 2025 usai finish tercepat 1:31:52 detik di Sirkuit Gilles Vill...

Formel 1 im Liveticker: Russell startet von der Pole! Verstappen dahinter

Der Große Preis von Kanada verspricht Spannung. Mit besten Aussichten auf den Sieg geht Mercedes-Fah...

www.motorsport-total.com

https://www.motorsport-total.com/formel-1/news/aston-martin-bestaetigt-stroll-faehrt-nach-hand-op-in...

👉 Das sind unsere Themen zum Abend: ⚾ *Komplizie...

👉 Das sind unsere Themen zum Abend: ⚾ *Komplizierter Sport*: Der Baseballclub Romans aus Ladenburg...

*ICI 2025 Sukses Digelar, Presiden Prabowo Apresia...

*ICI 2025 Sukses Digelar, Presiden Prabowo Apresiasi Kepemimpinan Menko AHY* JAKARTA - Internationa...

Formel 1: Es geht los in Kanada!...

Formel 1: Es geht los in Kanada!

Aviation Tanzania on Instagram: "Wakati dunia ikiomboleza ajali mbaya ya ndege ya Air India iliyotokea mchana wa Alhamisi Juni 12,2025 na kusababisha vifo vya mamia ya watu waliokuwemo ndani ya ndege hiyo, taarifa mpya zimetolewa na kuvunja hali ya ukimya zinazothibitisha kuwa abiria mmoja pekee amepatikana hai. Vishwash Kumar Ramesh, raia wa Uingereza mwenye umri wa miaka 40, alipatikana akiwa hai katikati ya miili ya marehemu katika eneo la ajali, saa chache baada ya polisi kuthibitisha kuwa hakuna mtu aliyenusurika. Alikimbizwa Hospitali ya Serikali ya Asarwa, Ahmedabad, ambako kwa sasa amelazwa katika wodi ya kawaida, akiwa na majeraha ya kifua, macho na miguu. Vishwash alisimulia kuwa muda mfupi tu baada ya ndege hiyo kupaa, alisikia mlio mkubwa kisha ndege ikaanguka ghafla. Alisema tukio hilo lilitokea kwa kasi ya kushangaza kiasi kwamba hakuwa na muda wa kuelewa kilichotokea. Alipoamka, alijikuta akiwa katikati ya miili ya watu waliopoteza maisha. Alieleza kuwa alikuwa na hofu kubwa na alipoona anaweza kusimama, alikimbia kutoka eneo hilo huku akizungukwa na mabaki ya ndege. Mtu mmoja alimtokea na kumsaidia kumpakia kwenye ambulensi, na ndipo akafikishwa hospitalini. Ndege hiyo aina ya Boeing 787-8 Dreamliner, iliyokuwa ikielekea Uwanja wa Ndege wa Gatwick, Uingereza, ilibeba watu 242 wakiwemo wafanyakazi wa ndege. Vishwash alikuwa akirejea London pamoja na kaka yake, Ajay Kumar Ramesh, mwenye umri wa miaka 45, baada ya kutembelea familia yao nchini India. Alieleza kuwa wakiwa safarini yeye na kaka yake walikuwa wamekaa katika mistari tofauti ndani ya ndege na hadi sasa hajui kaka yake alipo. Taarifa hizi zimetolewa baada ya Kamishna wa Polisi wa Ahmedabad, G.S. Malik, awali kusema kuwa hakuna aliyenusurika katika ajali hiyo, kutokana na mlipuko mkubwa ulioharibu kabisa sehemu ya ndege na kusababisha vifo vingi papo hapo, wakiwemo wanafunzi waliokuwa kwenye bweni la Chuo Kikuu cha Tiba cha B.J. ambako ndege hiyo iliangukia. #planecrash #survivor #airline #airindia #boeing787dreamliner #aviationtanzania✈ #aviationtanzaniaupdates #aviata #aviataupdates"

https://www.instagram.com/p/DK1IbDKttU8/?igsh=MXFiZG5rMjc0cGR3dA== *Abiria mmoja anusurika katika a...

Aviation Tanzania on Instagram: "Polisi Wathibitisha Hakuna Aliyenusurika Katika Ajali ya Ndege ya Air India. Polisi nchini India wamethibitisha kuwa hakuna mtu aliyenusurika katika ajali ya ndege ya Air India aina ya Boeing 787-8 Dreamliner iliyotokea mchana wa leo, dakika chache baada ya kupaa kutoka Uwanja wa Ndege wa Ahmedabad kuelekea London. Kwa mujibu wa mamlaka za usalama, ndege hiyo ilianguka kwenye jengo la bweni la Chuo cha Tiba cha B.J., karibu na uwanja wa ndege, na kusababisha vifo vya wanafunzi kadhaa waliokuwa ndani ya bweni hilo wakati wa ajali. Maafisa wa polisi wamesema kuwa eneo la tukio tayari limesafishwa kwa asilimia 70 hadi 80, na juhudi za kuwaokoa waliokwama zinaendelea. Shirika la habari la CNN News-18 limeripoti kuwa, sehemu ya ndege hiyo iliangukia moja kwa moja kwenye eneo la chakula la wanafunzi, likionyesha picha za mabaki ya ndege juu ya paa la jengo na moshi mzito ukifuka angani. Ndege hiyo ilikuwa ikielekea Uwanja wa Ndege wa Gatwick, kusini mwa London, ikiwa na abiria 230 na wafanyakazi wa ndege 12 (ambao wote wamepoteza maisha). Kwa mujibu wa Air India, abiria hao ni pamoja na raia 169 wa India, 53 Waingereza, 7 kutoka Ureno, na mmoja kutoka Kanada. Watoto 11 na watoto wachanga wawili. Kwa mujibu wa taarifa kutoka Flightradar24, ndege hiyo ilitengenezwa mwaka 2013 na kuanza kuhudumu rasmi katika shirika la Air India mwezi Januari 2014. Rais wa Uingereza Keir Starmer na Mfalme Charles wote wametuma salamu za rambirambi, huku serikali ya Uingereza ikieleza kuwa inashirikiana kwa karibu na India kufuatilia tukio hilo na kuwasaidia raia wake waliokuwa ndani ya ndege hiyo. Waziri Mkuu wa India Narendra Modi alieleza majonzi yake kupitia ukurasa wake wa X akieleza kuwa ajali hiyo ni ya kuhuzunisha na anaungana kwa pamoja na familia zote zilizoathirika katika kipindi cha maombolezo. Kampuni ya Boeing imethibitisha kuwa inafuatilia kwa karibu tukio hili na imeanza kushirikiana na mamlaka za India kuchunguza chanzo cha ajali. Hii ni ajali ya kwanza inayohusisha vifo kwa ndege ya aina ya Dreamliner tangu ianze kutumika mwaka 2011. #planecrash #airline #airindia #boeing787dreamliner #aviationtanzania✈ #aviationtanzaniaupdates #aviata #aviataupdates"

https://www.instagram.com/p/DKzUSkwNDdj/?igsh=MTIwdWdyazllYTlkeQ== *Polisi Wathibitisha Hakuna Aliy...

Japanese ramen chain Kanada-Ya shuts all three Singapore outlets amid losses

Japanese ramen chain Kanada-Ya has shut all 3 of its Singapore outlets amid continued losses. https:...