Find WhatsApp Channels
Discover the best WhatsApp channels for news, entertainment, education and more. Our powerful search helps you find exactly what you're looking for.
Channels & Posts for #turkishairlines
Posts
Aviation Tanzania on Instagram: "Wakati abiria wengi wanaotumia usafiri wa anga hutumia siti moja pekee kusafiri kutoka sehemu moja hadi nyingine, hii ni tofauti kwa Rumeysa Gelgi, raia wa Uturuki ambaye anavunja rekodi ya dunia (Guinness World Records) kwa kuwa mwanamke mrefu zaidi duniani. Rumeysa Gelgi, ambaye ana urefu wa futi 7 na inchi 0.7 (sawa na mita 2.15), amefichua kuwa kila anaposafiri kwa ndege hulazimika kulipia siti sita kutokana na hali yake ya kiafya inayomlazimu kulala kwenye machela wakati wote wa safari. Gelgi, ambaye anaishi katika jimbo la Karabük, kaskazini mwa Uturuki, anasumbuliwa na ugonjwa nadra unaojulikana kama Weaver syndrome, hali inayosababisha ukuaji wa haraka wa mwili pamoja na changamoto nyingine za kiafya. Kwa sababu ya urefu wake wa kipekee, amekuwa akitegemea kiti cha magurudumu. Kwa miaka mingi, alikuwa hawezi kabisa kusafiri kwa ndege kutokana na kutokuwepo kwa nafasi ya kutosha. Lakini kupitia Shirika la Ndege la Turkish Airlines, sasa anaweza kusafiri kimataifa baada ya shirika hilo kuondoa siti sita katika ndege moja na kuweka machela maalum kwa ajili yake. Safari yake ya kwanza ya anga ilifanyika mwezi Septemba mwaka 2022 kutoka San Francisco hadi Istanbul. Aliielezea safari hiyo kama “safari kamili na isiyo na dosari.” Tangu wakati huo, Rumeysa amekuwa akisafiri angalau mara moja kila mwaka, lakini ni kwa kutumia shirika lake la taifa pekee, ambalo lina uwezo wa kutoa huduma hiyo maalum. Licha ya kuwa tayari ametembelea mataifa kama Marekani, Uingereza, Hispania na Italia, kila safari huambatana na maandalizi makubwa na gharama kubwa. Mbali na kulipia nafasi ya machela ambayo ni sawa na siti sita za abiria wengine, anahitajika kufika uwanja wa ndege saa nne kabla ya muda wa safari kwa ajili ya kukutana na wataalamu wa afya na maandalizi mengine ya usalama. Hadi sasa, hajawahi kusafiri kwa basi au treni, lakini ana matumaini ya kufanya hivyo katika miezi ijayo. Katika mahojiano na Luxury Travel Daily, Rumeysa alieleza jinsi anavyoumizwa na hali ya kushindwa kutembelea maeneo yenye historia ya kuvutia kutokana na ukosefu wa njia salama. Kutokana na uwepo wa vyuma vya msaada mgongoni mwake, hata kuanguka kidogo inaweza kuwa hatari kubwa kwake."
https://www.instagram.com/reel/DKwGwSJNs21/?igsh=MzhvcnNoMzhmOHpp *Mwanamke mrefu zaidi duniani hul...
Turkish Airlines Holidays turns every trip into a ...
Turkish Airlines Holidays turns every trip into a premium experience, offering added travel benefits...
Connect to your dream holiday with the best price ...
Connect to your dream holiday with the best price guarantee, extra miles, complimentary checked bagg...
Aviation Tanzania on Instagram: "Abiria atakayeinuka kabla ya ndege kusimama atatozwa faini ya Dola 70. Mamlaka ya usafiri wa anga ya Uturuki imeweka sheria mpya inayowataka abiria wote kubaki wamekaa hadi ndege itakapokuwa imesimama kikamilifu kwenye eneo la kupaki,na Kwa abiria atakayekiuka sheria hiyo atatozwa faini ya dola 70 za Kimarekani. Sheria hiyo inalenga kukomesha tabia ya abiria kuamka mapema na kuanza kupanga foleni kwenye korido mara tu ndege inapotua, kabla hata ya ndege kufika kwenye kituo cha kupaki. Mamlaka hiyo inasema hatua hiyo inalenga kuimarisha usalama wa wasafiri na wafanyakazi wa ndege, na tayari mashirika ya ndege yameelekezwa kutoa maelekezo ya wazi kwa abiria kuhusu kutii agizo hilo. Kwa mujibu wa taarifa ya shirika la habari la DPA kutoka Ujerumani, mashirika ya ndege yamepewa jukumu la kuwakumbusha abiria kufunga mikanda wakati wote wa kutua hadi ndege itakapopaki, na kwamba yeyote atakayekiuka agizo hilo ataripotiwa katika mamlaka na kutozwa faini. Abiria wengi wamekuwa wakionekana wakifungua mikanda yao mara tu ndege inapotua na kuamka kuelekea mlangoni kwa lengo la kuwa wa kwanza kushuka au kuchukua mizigo yao, jambo linaloonekana kuhatarisha usalama na kuvuruga taratibu za kushuka kwa mpangilio. Turkish Airlines, shirika la taifa la Uturuki ambalo linatoa huduma ya usafiri katika nchi zaidi ya 130, tayari limeanza kutekeleza sheria hiyo. Mashirika mengine ya kimataifa kama Emirates na Qatar Airways yanaripotiwa pia kuzingatia kuanzisha utaratibu huo. #airline #turkishairlines #airlinepassengers #aviationtanzania✈ #aviationtanzaniaupdates #aviata #aviataupdates"
https://www.instagram.com/p/DKIC32nsera/?igsh=NHp6N2dlMnJmaWs3 *Abiria atakayeinuka kabla ya ndege ...
Europe is now closer than ever with Turkish Airlin...
Europe is now closer than ever with Turkish Airlines' frequent flyer program Miles&Smiles and the ex...
We proudly introduced Turkish Airlines Holidays to...
We proudly introduced Turkish Airlines Holidays to travelers departing from the U.S. and Canada with...
The perfect holiday begins long before takeoff wit...
The perfect holiday begins long before takeoff with Turkish Airlines Holidays. Discover our packages...
أعلنت الخطوط الجوية التركية عن سياسة التعويضات لل...
أعلنت الخطوط الجوية التركية عن سياسة التعويضات للركاب في حال تأخر الرحلات لأكثر من ثلاث ساعات. يأتي...
Take-Off 101 (Part-Time Öğrenci) 2025 | Türk Hava Yolları ®️
https://careers.turkishairlines.com/acik-pozisyonlar/take-off-101-part-time-ogrenci-2025/8db79a74-48...
Onboard ✈️ @TurkishAirlines And, UAE, we're comin...
Onboard ✈️ @TurkishAirlines And, UAE, we're coming for you! The Caiz team will be at the Middle Ea...
اجعل رحلتك أكثر تميزًا مع برنامج Miles&Smiles من ا...
اجعل رحلتك أكثر تميزًا مع برنامج Miles&Smiles من الخطوط الجوية التركية! ✈ اكسب الأميال مع كل رحلة، و...
أعلنت الخطوط الجوية التركية إلغاء بعض الرحلات من و...
أعلنت الخطوط الجوية التركية إلغاء بعض الرحلات من وإلى مطار إسطنبول يومي الخميس والجمعة (20 و21 فبراي...