RFI Kiswahili

RFI Kiswahili

367.5K subscribers

Verified Channel
RFI Kiswahili
RFI Kiswahili
February 11, 2025 at 05:59 PM
Waziri Mkuu wa #israel Benjamin #netanyahu amesema mwafaka wa usitishaji wa mapigano huko #gaza utavunjika iwapo Hamas haitawaachilia mateka Jumamosi ya wiki hii. Kauli yake imejiri baada ya wapiganaji wa Hamas kudai kwamba hawataachia huru mateka watatu wa 🇮🇱 kama ilivyotarajiwa kutokana na madai ya ukiukaji wa usitishaji mapigano wa Israel. #netanyahu amekiri kuwa jeshi la Israel liko tayari kurejea kwenye mapigano makali hadi Hamas washindwe.
😢 🙏 👍 ❤️ 😂 24

Comments