RFI Kiswahili WhatsApp Channel

RFI Kiswahili

214.2K subscribers

Verified Channel

About RFI Kiswahili

Karibu katika chaneli ya Radio France International, idhaa ya Kiswahili. Fuatilia habari zetu kutoka Kila pembe ya Dunia.

Similar Channels

Swipe to see more

Posts

RFI Kiswahili
RFI Kiswahili
2/21/2025, 7:39:39 AM

Mamia ya raia wa jamii ya Ogale na Bille nchini Nigeria, wamewasilisha kesi mahakamani dhidi ya kampuni ya Shell wanayoituhumu kwa uchafuzi wa mazingira kupitia kuvuja kwa mabomba ya mafuta katika eneo la Niger delta,wakisema hilo limeathiri mfumo wao wa maisha . Kesi hiyo imewasilishwa katika mahakama ya London.

Post image
โค๏ธ ๐Ÿ™ ๐Ÿ‘ ๐Ÿ˜ข ๐Ÿ˜ฎ 13
Image
RFI Kiswahili
RFI Kiswahili
2/22/2025, 9:56:57 AM

Magari ya Shirika la Msalaba Mwekundu yamefika katika eneo la pili huko Gaza, Nuseirat, katika Ukanda wa Gaza wa Kati, kwa ajili ya kukabidhiwa kwa wafungwa wa pii wa leo. Wafungwa wanne wa Kiyahudi kutoka Israeli wanaotarajiwa kuachiliwa na Hamas ni Hisham al-Sayed, ambaye alitekwa mwaka 2015 baada ya kuvuka mpaka kuingia Gaza peke yake, Omer Shem Tov, mwenye umri wa miaka 22, Eliya Cohen, mwenye umri wa miaka 27, na Omer Wenkert, mwenye umri wa miaka 23, ambao walitekwa kutoka kwenye tamasha la muziki la Nova tarehe 7 Oktoba 2023.

Post image
๐Ÿ™ ๐Ÿ‘ ๐Ÿ˜ข โค๏ธ ๐Ÿ˜ฎ 13
Image
RFI Kiswahili
RFI Kiswahili
2/22/2025, 10:13:32 AM

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio na Rais wa Kenya William Ruto wamehimiza kusitishwa kwa mapigano mara moja mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) wakati wa mazungumzo ya simu, Wizara ya Mambo ya Nje ilisema. Viongozi hao wawili walisisitiza dhamira yao ya kusukuma suluhu la kidiplomasia kwa mgogoro huo.

Post image
๐Ÿ™ ๐Ÿ‘ โค๏ธ ๐Ÿ˜ข 15
Image
RFI Kiswahili
RFI Kiswahili
2/21/2025, 7:57:27 AM

https://rfi.my/BQmE.s

๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜ข ๐Ÿ˜ฎ ๐Ÿ™ โค๏ธ ๐Ÿ‘ 24
RFI Kiswahili
RFI Kiswahili
2/21/2025, 3:08:41 PM

https://www.facebook.com/share/v/1EgM5gK2Xn/?mibextid=wwXIfr

โค๏ธ ๐Ÿ‘ ๐Ÿ˜ข ๐Ÿ™ 6
RFI Kiswahili
RFI Kiswahili
2/22/2025, 9:55:47 AM

Rais wa Marekani Donald Trump amesema Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron na Waziri Mkuu wa Uingereza Sir Keir Starmer hawajafanya lolote kumaliza vita nchini Ukraine, kabla ya ziara yao katika Ikulu ya White House wiki ijayo.

Post image
๐Ÿ‘ ๐Ÿ™ โค๏ธ 11
Image
RFI Kiswahili
RFI Kiswahili
2/22/2025, 12:12:52 PM

Uchunguzi kufuatia moto mkubwa ulioshuhudiwa katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta (JKIA) nchini Kenya unaendelea. Kwa mujibu wa taarifa kutoka Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Kenya (KAA), moto huo ulitokea kwenye eneo la nyasi linalozunguka uwanja huo. KAA imeeleza kuwa moto huo haukuathiri miundombinu muhimu wala shughuli za kawaida za uwanja wa ndege, na ratiba za ndege zinaendelea kama kawaida. Hii si mara ya kwanza kwa JKIA kukumbwa na tukio la moto. Mnamo Agosti 7, 2013, moto mkubwa ulizuka katika uwanja huo, na kusababisha kusitishwa kwa shughuli zote kwa muda.

Post image
๐Ÿ˜ข ๐Ÿ‘ ๐Ÿ™ โค๏ธ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜ฎ 18
Image
RFI Kiswahili
RFI Kiswahili
2/22/2025, 11:10:09 AM

Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi, Sergei Lavrov, ataitembelea Tehran hivi karibuni ili kukutana na mwenzake wa Iran kujadili mabadiliko na maendeleo ya kikanda na kimataifa. Imesema wizara ya Mambo ya Nje ya Iran.

Post image
๐Ÿ‘ ๐Ÿ˜ข ๐Ÿ™ โค๏ธ ๐Ÿ˜‚ 11
Image
RFI Kiswahili
RFI Kiswahili
2/21/2025, 3:10:02 PM

https://www.youtube.com/live/jPRELzgqwy8?si=PP0bimL8jVY9fd93

๐Ÿ‘ ๐Ÿ™ ๐Ÿ˜ฎ โค๏ธ 15
RFI Kiswahili
RFI Kiswahili
2/21/2025, 7:12:48 AM

https://rfi.my/BQmi.f

๐Ÿ‘ โค๏ธ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜ข ๐Ÿ˜ฎ ๐Ÿ™ 12
Link copied to clipboard!