RFI Kiswahili
                                
                                    
                                        
                                    
                                
                            
                            
                    
                                
                                
                                February 12, 2025 at 05:38 AM
                               
                            
                        
                            Wakuu wa nchi na serikali wa mataifa mbalimbali barani Afrika kuanzia Alhamis ya wiki hii watawasili jijini Addis Ababa nchini Ethiopia🇪🇹, kushiriki kwenye mkutano muhimu wa 38 wa Umoja wa Afrika, kujadili masuala mbalimbali na kumchagua Mwenyekiti mpya wa Tume ya Umoja huo siku ya Jumamosi.
Kuanzia uwanja wa ndege wa Addis Abbaba Bole, unaanza kukutana na mabango yanayonadi kikao hicho.
Ripoti : Carol Korir : Addis Ababa👆
                        
                    
                    
                    
                    
                    
                                    
                                        
                                            😢
                                        
                                    
                                        
                                            👍
                                        
                                    
                                    
                                        3