Swahili Times
                                
                                    
                                        
                                    
                                
                            
                            
                    
                                
                                
                                February 13, 2025 at 04:25 PM
                               
                            
                        
                            Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, amesema Ukraine haitakubali makubaliano yoyote ya amani yaliyofikiwa na Urusi na Marekani bila ushiriki wake.
Kauli hiyo imejiri baada ya Rais wa Marekani, Donald Trump kuzungumza na Rais wa Urusi, Vladimir Putin Jumatano kabla ya kutangaza kuwa wamekubaliana kuanza mazungumzo ya kumaliza vita vya Ukraine.
                        
                    
                    
                    
                    
                    
                                    
                                        
                                            😂
                                        
                                    
                                        
                                            👍
                                        
                                    
                                        
                                            ❤️
                                        
                                    
                                        
                                            😮
                                        
                                    
                                        
                                            🙏
                                        
                                    
                                        
                                            😢
                                        
                                    
                                    
                                        38