JamiiForums
February 13, 2025 at 05:34 AM
Je, unataka Viongozi waadilifu, wenye dira na nia thabiti ya kuleta mabadiliko chanya? Au unataka kulalamika kwa Miaka mitano ijayo kwasababu ya uamuzi mbaya? Kila kura inahesabika, na kila sauti ina umuhimu
Usikubali kushawishiwa kwa ahadi za muda mfupi, pesa au zawadi zisizo na maana. Badala yake, tafakari kwa kina kuhusu nani ana uwezo wa kubadilisha Maisha yako na Maendeleo ya Jamii yako.
😂
👍
🙏
6