JamiiForums

JamiiForums

712.6K subscribers

Verified Channel
JamiiForums
JamiiForums
February 13, 2025 at 05:34 AM
Je, unataka Viongozi waadilifu, wenye dira na nia thabiti ya kuleta mabadiliko chanya? Au unataka kulalamika kwa Miaka mitano ijayo kwasababu ya uamuzi mbaya? Kila kura inahesabika, na kila sauti ina umuhimu Usikubali kushawishiwa kwa ahadi za muda mfupi, pesa au zawadi zisizo na maana. Badala yake, tafakari kwa kina kuhusu nani ana uwezo wa kubadilisha Maisha yako na Maendeleo ya Jamii yako.
😂 👍 🙏 6

Comments