
JamiiForums
February 13, 2025 at 06:26 AM
Kesi ya Haki (Right to Fair Trial) inapokosekana Watu wanaweza kunyimwa Haki yao ya msingi ya kutetewa, kupewa adhabu isiyo ya Haki au hata kuhukumiwa kwa makosa wasiyoyafanya
Mahakama zinapaswa kuwa huru na zisizoingiliwa na Serikali, Vyombo vya Usalama au Mashinikizo ya Kisiasa
Aidha, Mtuhumiwa ana Haki ya kukata Rufaa ikiwa anahisi kuwa kesi yake haikusikilizwa kwa Haki
Soma zaidi https://jamii.app/RightToFairTrial
👍
1