JamiiForums
February 13, 2025 at 01:54 PM
Mdau kuwa makini unapoweka taarifa zako binafsi hadharani kwani unahatarisha usalama wako ikiwa zitafika mikononi mwa watu wenye nia mbaya na wakazitumia vibaya taarifa hizo
Soma https://jamii.app/MlinziTaarifaZako
👍
❤️
😢
6