
tbc_online
February 13, 2025 at 11:44 AM
*Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Profesa Palamagamba Kabudi alipowasili katika Uwanja wa Changamani uliopo Jijini Dodoma, panapofanyika hafla ya utiaji saini mkataba wa mradi wa ujenzi wa Uwanja wa Mpira wa Dodoma leo Februari 13, 2025.*
👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾
https://www.instagram.com/p/DGAu8YBogNo/?igsh=OGZ4cnl2ZGk0dXZr
👍
4