tbc_online
                                
                                    
                                        
                                    
                                
                            
                            
                    
                                
                                
                                February 13, 2025 at 11:52 AM
                               
                            
                        
                            *Kwenye picha ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Profesa Palamagamba Kabuni (Kushoto) na Naibu Waziri wa wizara hiyo Hamis Mwinjuma, wakiteta jambo katika Uwanja wa Changamani Jijini Dodoma inapofanyika hafla ya utiaji saini mkataba wa mradi wa ujenzi wa Uwanja wa Mpira Dodoma leo Februari 13,2025.*
👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾
https://www.instagram.com/p/DGAw1hToNJ2/?igsh=ZDdsYXkxeWFlbm9l
                        
                    
                    
                    
                    
                    
                                    
                                        
                                            🙏
                                        
                                    
                                        
                                            👍
                                        
                                    
                                        
                                            ❤️
                                        
                                    
                                        
                                            😂
                                        
                                    
                                    
                                        7