JamiiForums

JamiiForums

712.6K subscribers

Verified Channel
JamiiForums
JamiiForums
February 13, 2025 at 05:26 PM
Wakili William Maduhu (LHRC) amesema “Kuna wakati Viongozi wanatumia Madaraka yao kutoa ahadi na kutoa vitisho kwa Wananchi kuwa hawatakiwi kuwachagua wapinzani wakati wa Uchaguzi lakini huwezi kuwasikia TAKUKURU wakiingilia kati hapo” Amesisitiza kwa kutolea mfano Wabunge wa sasa waliopo Madarakani wanaenda kwenye Majimbo kutoa vitu mbalimbali ikiwemo Pikipiki, Baiskeli n.k. lakini watia nia wengine wakienda kufanya hivyo TAKUKURU wanawakamata Ameongeza kuwa “Inavyofanyika ni kuwa Mbunge ambaye ana nia ya kugombea tena akifanya hivyo ni sawa lakini yule mwenye nia ya kugombea yeye akifanya hivyo anaambiwa anatoa Rushwa
❤️ 😂 😢 5

Comments