
tbc_online
February 13, 2025 at 02:11 PM
*Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema hakuna awamu ambayo imetoa fedha nyingi kwa ajili ya miradi ya maendeleo kama awamu ya sasa inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan.*
👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾
https://www.instagram.com/reel/DGA_ip7isx7/?igsh=ZzZtM2RmOXhhMTk3