Dimbani Konekti

Dimbani Konekti

206.5K subscribers

Verified Channel
Dimbani Konekti
Dimbani Konekti
January 18, 2025 at 03:45 PM
Rasmi klabu ya Yanga inatupwa nje ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwenye hatua ya makundi wakilamilza nafasi ya 3 na alama 8 baada ya michezo 6 kwenye msimamo wa Kundi A, nyuma ya Al Hilal na MC Alger waliofuzu kucheza Robo Fainali. Yanga SC 0️⃣-0️⃣ MC Alger Msiba umefana sana hamna aliyelia nje ya Key.
😂 👍 ❤️ 🖕 😢 🙏 💔 🔰 😮 ✍️ 131

Comments