Dimbani Konekti

Dimbani Konekti

206.5K subscribers

Verified Channel
Dimbani Konekti
Dimbani Konekti
January 20, 2025 at 09:57 AM
Hawa ndio wapinzani watatu anaoweza kukutana nao Simba SC, baada ya kufuzu hatua ya robo fainali Kombe la Shirikisho Afrika. Al Masry 🇪🇬 ASEC Mimosas 🇨🇮 Stellenbosch 🇿🇦 Mnyama mnamtaka nani au nyie aje yoyote tu?
❤️ 👍 😂 🙏 🇿🇦 😢 🦁 🇪🇬 🎉 😮 95

Comments