RFI Kiswahili

RFI Kiswahili

214.2K subscribers

Verified Channel
RFI Kiswahili
RFI Kiswahili
February 22, 2025 at 10:13 AM
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio na Rais wa Kenya William Ruto wamehimiza kusitishwa kwa mapigano mara moja mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) wakati wa mazungumzo ya simu, Wizara ya Mambo ya Nje ilisema. Viongozi hao wawili walisisitiza dhamira yao ya kusukuma suluhu la kidiplomasia kwa mgogoro huo.
Image from RFI Kiswahili: Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio na Rais wa Kenya Willia...
🙏 👍 ❤️ 😢 15

Comments