
RFI Kiswahili
February 22, 2025 at 10:13 AM
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio na Rais wa Kenya William Ruto wamehimiza kusitishwa kwa mapigano mara moja mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) wakati wa mazungumzo ya simu, Wizara ya Mambo ya Nje ilisema.
Viongozi hao wawili walisisitiza dhamira yao ya kusukuma suluhu la kidiplomasia kwa mgogoro huo.

🙏
👍
❤️
😢
15