RFI Kiswahili

RFI Kiswahili

214.2K subscribers

Verified Channel
RFI Kiswahili
RFI Kiswahili
February 28, 2025 at 06:53 PM
Rais Volodymyr #zelensky wa #ukraine 🇺🇦 ameripotiwa kuondoka katika Ikulu ya White House baada ya majibizano makali na yenye hasira na Rais wa Marekani Donald #trump na Makamu wa Rais #jdvance. Trump amechapisha kwenye mitandao yake ya kijamii akidai kwamba #zelensky alidharau Marekani katika Ofisi yake ya Oval. Amesema Kiongozi huyo wa Ukraine anaweza kurejea akiwa tayari kwa amani.
Image from RFI Kiswahili: Rais Volodymyr <a class="text-blue-500 hover:underline cursor-pointer"...
😂 🙏 👍 😮 ❤️ 😢 29

Comments