
JamiiForums
February 27, 2025 at 04:09 PM
Akichangia katika Mjadala wa “Je, 'Uchawa' unakwamisha Uwajibikaji?" Mkuu wa Idara ya Programu (TCD), Carlos Buto amesema “Ipo mifano ya Nchi kadhaa, mfano Nchi za Magharibi kama Norway, Ujerumani, Canada ukiangalia siasa zao sio za kubebana kwa mambo ya kusifiana, yanaziangatia hoja na Utendaji wa Taasisi”
Ameongeza kwa kusema kuwa Boksi la Kura linaamua namna gani unamwajibisha Kiongozi, hivyo kama kiongozi hana mwenendo mzuri wa utendaji Kura yako ndio itakayomuwajibisha

👍
❤️
5