
tbc_online
February 28, 2025 at 02:44 PM
*Rais Samia Suluhu Hassan amesema changamoto za usikivu hafifu wa Redio ya Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC Taifa) hazitakuwa changamoto tena katika kipindi kifupi kijacho kwani serikali imeliona hilo na inafanyia kazi changamoto hizo.*
👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾
https://www.instagram.com/p/DGnsq8BPNGF/?igsh=b28wMWR4b2ZzdjQ0

❤️
👍
🙏
🤩
4