Dimbani Konekti

Dimbani Konekti

206.5K subscribers

Verified Channel
Dimbani Konekti
Dimbani Konekti
February 19, 2025 at 06:13 PM
Simba wanaondoka na alama tatu muhimu ugenini kwenye dimba la Majaliwa kule Ruangwa Lindi, wakifikisha alama 50 nyuma ya vinara Yanga wakiongoza Ligi na alama 52 pia wakiwa na mchezo mmoja mkononi. Namungo FC 0-3 Simba SC ⚽️⚽️ Ahoua '45+5 '72 ⚽️ Mukwala '90+2 Matokeo michezo mingine: Coatal Union 0-0 Azam FC Mashujaa FC 2-0 Pamba Jiji Kilichotokea hapa Majaliwa tuseme ni Miujiza.😅
Image from Dimbani Konekti: Simba wanaondoka na alama tatu muhimu ugenini kwenye dimba la Majaliwa...
😂 ❤️ 👍 😢 🙏 🔥 👏 😮 🎉 83

Comments