
IAA Tanzania
February 19, 2025 at 12:25 PM
IAA MWENYEJI MKUTANO WA UNDP
Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) kitakuwa mwenyeji wa mkutano wa Shirika la Maendeo la Umoja wa Mataifa (UNDP) utakaofanyika tarehe 26/02/2025 Jumatano, kuanzia saa saba mchana, ukumbi wa Maktaba- IAA Kampasi ya Arusha.
Lengo la Mkutano ni kujadili namna ya kuandaa kesho ya vijana wanaohitimu Vyuo vya Elimu ya Juu
na kutumia fursa mbalimbali zinapatikana chini ya Shirika hilo.
Aidha, vijana kutoka vyuo mbalimbali mbalimbali watashiriki.
WOTE MNAKARIBISHWA
❤️
👍
🙏
11