Pinkie Football Universe
Pinkie Football Universe
February 4, 2025 at 10:17 AM
#๐‘ซ๐’†๐’”๐’Š๐’ˆ๐’๐’†๐’… ๐’Š๐’ ๐‘ช๐’‚๐’๐’Š๐’‡๐’๐’“๐’๐’Š๐’‚ ๐’‚๐’”๐’”๐’†๐’Ž๐’ƒ๐’๐’†๐’… ๐’Š๐’ ๐‘ช๐’‰๐’Š๐’๐’‚ โœKuna kasumba imezuka kwa baadhi ya watumiaji wa simu za ๐ˆ๐ฉ๐ก๐จ๐ง๐ž ya kuwa wanaamini ๐ˆ๐ฉ๐ก๐จ๐ง๐ž iliyotengenezwa(assembled) nchini China huwa hazina ubora ukilinganisha na zile zinazotengenezwa nchi nyingine kitu ambacho hakina ukweli๐Ÿค” โœNa hii ni kutokana na kuwa bidhaa mbalimbali kutoka China zimekuwa hazina ubora....(Tuachane na hizo siasa kwasasa, ipo siku tutalizungumzia hili kwa tumaanina) โœKwanza ni dhambi kubwa sana kuwa na dhana hii kwani simu zote za ๐ˆ๐ฉ๐ก๐จ๐ง๐ž bila kujali imetengenezewa wapi ubora huwa ni uleule ila kitakachomata ni utunzaji wako๐Ÿ˜ท โœToleo lolote la ๐ˆ๐ฉ๐ก๐จ๐ง๐ž ambalo unaliona sokoni basi ilipitia mambo matatu muhimu : ๐Ÿ“Designig ๐Ÿ“Manufacturing ๐Ÿ“Assembling โœแด…แด‡sษชษขษดษชษดษข : Hapa wataalamu hukaa na kubuni toleo lijalo la Iphone linatakiwa liwe na nini na nini?, kipi kiongezwe au kipunguzwe, vioo tuchuke kwenye kampuni gani, tutumie camera na lenzi kutoka kampuni gani, chip ipi itumike n.k na jambo hili hufanyika katika makao makuu ya ๐€๐ฉ๐ฉ๐ฅ๐ž Los Angeles California chini Marekani๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ โœแดแด€ษดแดœา“แด€แด„แด›แดœส€ษชษดษข : Uzalishaji wa vifaa hufanywa kwa vile vifaa ambavyo kampuni ya APPLE inaweza kuviandaa na kununua vifaa ambavyo wao binafsi hawana uwezo kuvizalisha n.k mathalan asilimia kubwa ya vioo vya Iphone vinatengenezwa na kampuni ya sแด€แดsแดœษดษข kutokea Suwan chini Korea, Kamera na sensa zake hutengenezwa na kampuni ya Sony๐Ÿค โœแด€ssแด‡แดส™สŸษชษดษข : Vifaa huunganishwa, na system software inakuwa uploaded kwenye simu, kisha simu kadhaa uharibiwa kwa kufanyiwa testing๐Ÿซก, lakini assembling hufanyika kwenye viwanda mbalimbali vya Iphone ikiwemo kile cha Guangzhou China ambacho ndio kiwanda mama cha iphone, pia california & India, Ila cha kuzingati ni kuwa huwa kuna umakini mkubwa sana unafanyika kabla ya simu kuingia sokoni๐Ÿ˜Ž โœKwani, kumbuka vifaa vimetoka kwenye kampuni tofauti tofauti hivyo basi lazima vyote viweze kuingiliana na kufanya kazi kama kitu kimoja na ndio maan huwezi abadani asilani utumie chip ya Iphone x kwenye Iphone 11 au kinyume chake๐Ÿค” ๐Ÿ“Lakini kwenye Android ndio kuna maajabu ya kwani unaweza kuta simu ya Tecno betri la nokia, spika ya vivo chip ya oppo๐Ÿคฃ โœ๐•‹๐•™๐•– ๐•ค๐•’๐•ž๐•– ๐•’๐•ค kwenye football, klabu zenye akili timamu hupitia zile zile hatua tatu makini : ๐Ÿ“แด…แด‡sษชษขษดษชษดษข : Kwa maana tunataka timu yetu iweje na ichezeje mathalan tunata timu ikabie kutokea chini (Low block) hivyo basi tupate rasilimali zote ili kukidhi mahitaji๐Ÿค ๐Ÿ“โœแดแด€ษดแดœา“แด€แด„แด›แดœส€ษชษดษข : klabu kupitia academy huzalisha wachezaji kuendana na mfumo wao, na kufanya sajili za wachezaji kulingana na aina ya mpira wanaocheza pia hata kocha lazima aendane na mfumo wa klabu husika๐Ÿค ๐Ÿ“แด€ssแด‡แดส™สŸษชษดษข : Baada ya rasilimali zote kupatikana sasa huu ndio wakati wa kuwafanya wachezaji kuwa timu na kupata kile mnacho kihitaji kutoka kwao, lakin cha kuzingatia ni kuwa hatua hii inategemea zaid hatua mbili za awali na vilabu vingi hufeli hapa kwani walichokifanya kwenye hatua zilizopita hakiendani na kile wanachokifanya kwenye hatua hii๐Ÿ˜จ โœKile ulichokiwekeza ndicho utakacho kivuna kwacho ndio maana kuna vilabu hupigania ubingwa na vingine hujipambania kubaki ligi kuu Thanks for your attention Appreciated โœŒ๏ธ Until next time Article A070
๐Ÿค 1

Comments