Pinkie Football Universe
Pinkie Football Universe
February 13, 2025 at 07:39 PM
#๐’˜๐’‰๐’‚๐’• ๐’‚ ๐‘ช๐’๐’๐’•๐’“๐’๐’—๐’†๐’“๐’”๐’š : ๐‘จ๐’๐’•๐’๐’๐’š ๐‘ซ๐’‚ ๐’”๐’Š๐’๐’—๐’‚ โœ๏ธSafari moja nilipokwenda kumsabahi wangu swahiba bwana ๐‘๐ข๐œ๐ก๐š๐ซ๐ ๐Œ๐จ๐ ๐ก๐ข๐ฐ๐š๐Ÿ˜€ alinikirimu na kunifanyia khidima nyingi ikiwemo kunipatia series moja kutokea nchini korea ya kusini iitwayo ๐Œ๐จ๐ฎ๐ฌ๐ž๐Ÿ”ฅ โœ๏ธHii series ina twist za kufa mtu kiasi kwamba unafika mahali huelewi starling ni yupi na villain ni yupi? โœ๏ธ๐•‹๐•™๐•– ๐•ค๐•’๐•ž๐•– ๐•’๐•ค kwa ๐™ฐ๐š—๐š๐š˜๐š—๐šข ๐™ณ๐šŠ ๐šœ๐š’๐š•๐šŸ๐šŠ, kwani kipindi yupo klabu ya Ajax alikuwa moto kweli kweli na hiyo ilitokana na malumba yake mguuni jumlisha na umaliziaji wake wa ku-curve(๐ซ๐ž๐œ๐ž๐ง๐ญ๐ฅ๐ฒ ๐ค๐ง๐จ๐ฐ๐ง ๐š๐ฌ ๐‚๐ก๐ซ๐ข๐ฌ๐ญ๐ฆ๐š๐ฌ ๐Ÿ๐ข๐ง๐ข๐ฌ๐ก๐ข๐ง๐ ๐ŸŽ…) โœ๏ธLakini baada ya kutua old Trafford grafu yake ilianza kuporomoka kwa kasi, kiasi kwamba wengi walimponda na kudiriki kusema ya kuwa Manchester united iliuziwa mbuzi kwenye gunia๐Ÿคฃ โœ๏ธKufuatia mfululizo mbaya wa performances za ๐™ฐ๐š—๐š๐š˜๐š—๐šข ๐™ณ๐šŠ ๐šœ๐š’๐š•๐šŸ๐šŠ, United kwenye dirisha la Januari hii iliamua kumtoa kwa mkopo kwenda kwenye klabu ya Real betis inayokipiga katika ligi kuu nchini Hispania๐Ÿค” โœ๏ธSasa jambo la kushtusha zaidi ni kuwa ndani ya michezo miwili ambayo ๐™ฐ๐š—๐š๐š˜๐š—๐šข ๐™ณ๐šŠ ๐šœ๐š’๐š•๐šŸ๐šŠ ameanza, amefunga bao moja na kuwa nyota wa mchezo kwenye michezo yote miwili๐Ÿง โœ๏ธSasa hivi mashabiki wapo kweye mazonge wakishindwa la kusema kwani hawaelewi which is which๐Ÿฅณ๐Ÿฅณ yaani mgeni kakataa soda anataka shilingi 600 yake๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ #๐๐ข๐ง๐ค๐ข๐ž4๐‹๐ข๐Ÿ๐ž
๐Ÿ˜‚ 1

Comments