
Pinkie Football Universe
February 13, 2025 at 07:39 PM
#๐๐๐๐ ๐ ๐ช๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ : ๐จ๐๐๐๐๐ ๐ซ๐ ๐๐๐๐๐
โ๏ธSafari moja nilipokwenda kumsabahi wangu swahiba bwana ๐๐ข๐๐ก๐๐ซ๐ ๐๐จ๐ ๐ก๐ข๐ฐ๐๐ alinikirimu na kunifanyia khidima nyingi ikiwemo kunipatia series moja kutokea nchini korea ya kusini iitwayo ๐๐จ๐ฎ๐ฌ๐๐ฅ
โ๏ธHii series ina twist za kufa mtu kiasi kwamba unafika mahali huelewi starling ni yupi na villain ni yupi?
โ๏ธ๐๐๐ ๐ค๐๐๐ ๐๐ค kwa ๐ฐ๐๐๐๐๐ข ๐ณ๐ ๐๐๐๐๐, kwani kipindi yupo klabu ya Ajax alikuwa moto kweli kweli na hiyo ilitokana na malumba yake mguuni jumlisha na umaliziaji wake wa ku-curve(๐ซ๐๐๐๐ง๐ญ๐ฅ๐ฒ ๐ค๐ง๐จ๐ฐ๐ง ๐๐ฌ ๐๐ก๐ซ๐ข๐ฌ๐ญ๐ฆ๐๐ฌ ๐๐ข๐ง๐ข๐ฌ๐ก๐ข๐ง๐ ๐
)
โ๏ธLakini baada ya kutua old Trafford grafu yake ilianza kuporomoka kwa kasi, kiasi kwamba wengi walimponda na kudiriki kusema ya kuwa Manchester united iliuziwa mbuzi kwenye gunia๐คฃ
โ๏ธKufuatia mfululizo mbaya wa performances za ๐ฐ๐๐๐๐๐ข ๐ณ๐ ๐๐๐๐๐, United kwenye dirisha la Januari hii iliamua kumtoa kwa mkopo kwenda kwenye klabu ya Real betis inayokipiga katika ligi kuu nchini Hispania๐ค
โ๏ธSasa jambo la kushtusha zaidi ni kuwa ndani ya michezo miwili ambayo ๐ฐ๐๐๐๐๐ข ๐ณ๐ ๐๐๐๐๐ ameanza, amefunga bao moja na kuwa nyota wa mchezo kwenye michezo yote miwili๐ง
โ๏ธSasa hivi mashabiki wapo kweye mazonge wakishindwa la kusema kwani hawaelewi which is which๐ฅณ๐ฅณ yaani mgeni kakataa soda anataka shilingi 600 yake๐คฃ๐คฃ
#๐๐ข๐ง๐ค๐ข๐4๐๐ข๐๐
๐
1