
Ashraf JK 💚💙
February 9, 2025 at 07:43 AM
Vitamini C pia ina overdose. Usipakie tuu nyingi kinywani mwako kwa sababu ni tamu.
Itumie kulingana na kipimo kilichopendekezwa na Daktari au Mfamasia Wako.
🙏
1