
Ashraf JK ππ
229 subscribers
About Ashraf JK ππ
Pharmadawa, Brother & Citizen
Similar Channels
Swipe to see more
Posts

Asilimia 50% ya Dawa zote za kupunguza Maumivu Duniani, ni Dawa za kupunguza uvimbe (NSAIDs) β Mfano kama Ibuprofen na Aspirin.


Kuna Matumizi ya Dawa ambayo ni Unlicensed (Batili/Bila Ithibati) Mfano Dawa ya Ciprofloxacin, Inaweza kutumika kibatili kama Dawa ya Kutibu Maambukizi yaliyosambaa ya Kidudu Cha Gonorrhea (Disseminated Gonococcal Infection), Na Mtu akapona. Kumbuka hayo Matumizi ni Unlicensed.


Hongera Dkt Ntuli kwa Kushinda Nafasi ya Mkurugenzi Mkuu wa Jamhuri ya Afya ya Nchi za Afrika Mashariki, Kati na Kusini (ECSA-HC)

Kikutokacho Mwilini Chenye Rangi ya kijani kijani au Njano Njano ni ishara una maambukizi ya bacteria. Muone Daktari Mara Moja.


Kiungo Kisipotumika muda Mrefu kinasinyaa na kupungua saizi yake. Kitaalamu tunaita Atrophy. Hii Hali inajitokeza sana kwa Wagonjwa waliolazwa kitandani muda Mrefu (Zaidi ya Miezi Minne).


Vitamini C pia ina overdose. Usipakie tuu nyingi kinywani mwako kwa sababu ni tamu. Itumie kulingana na kipimo kilichopendekezwa na Daktari au Mfamasia Wako.

Don't hold your Fartβ¦β¦Let it out Don't hold your urineβ¦.. Let it out Don't hold your stoolβ¦.. Let it out Don't hold your sneezeβ¦..Let it out Don't hold your tearsβ¦β¦Let it out Don't hold grudgesβ¦β¦ Let it out βΌοΈβΌοΈ

https://heyzine.com/flip-book/518dd5fc63.html Impact of USAID in Projects in East African Healthcare systems.

Wanaotumia Vidonge vya Prednisolone kwa Muda Mrefu (Zaidi ya Siku 30) Wapo kwenye Hatari ya kuchelewa kupona Vidonda kwa sababu prednisolone ni Dawa zinazoshusha Kinga ya mwili Vibaya Mno!
