
Smartsolutions Tanzania
February 2, 2025 at 07:21 AM
Elimika leo Chukua Hatua!
Intruder Alarm systems nini?
Kwa Lugha rahisi "Ni mfumo wa kiusalama unaofungwa nyumbani au ofsini
utakao kusaidia kukupata taarifa/kukushtua kwa njia ya *SMS au KINGORA* endapo kuna mtu kapita eneo lindwa au kafungua mlango/dirisha
Kwa muda usiotakiwa"
Mfumo huu mtu yeyote anaweza kufunga nyumbani,ofsini, dukani, Godown/store kwake.
Kabla ya kuweka mfumo pata ushauri wa kitaalamu.
Karibu sana.
#elimikanasmartsolutionstz
#elimuyausalama
#elimikaleo