Secar Sport
Secar Sport
January 30, 2025 at 04:14 PM
Kiungo shambuliaji wa kimataifa wa Zambia 🇿🇲 anayechezea klabu ya Yanga sc Clatous Chama amefichua kuwa pindi atakapokuwa anaelekea kustaafu soka ndoto zake ni kurudi kuichezea Simba kwa mara nyingine. “Nikikaribia kustaafu, timu ya kwanza kuipa kipaumbele cha kuichezea ni Simba ila kama wakinikataa ndio ninaweza kwenda timu nyingine kumalizia soka,”

Comments