Secar Sport
Secar Sport
January 31, 2025 at 01:00 PM
Taarifa zinaeleza kuwa ikiwa Yanga SC itawauza Stephane Aziz Ki na Clement Mzize basi watajaribu kumrejesha kikosini Zanzibar finest Feisal Salum Fei Toto. Lakini pia wataangalia namna ya kumsajili Djibril Sillah ambaye mpaka sasa hajasaini mkataba mpya na miamba ya Chamazi, Azam FC.

Comments