Secar Sport
Secar Sport
January 31, 2025 at 06:04 PM
Nyota wa Fountain Gate Selelmani Mwalimu amejiunga na klabu ya Wydad Casablanca kwa mkataba wa mwaka mmoja Sehemu ya makubaliaono ya mkataba huo Singida Black Stars atapata 10% ya mauzo ya mchezaji huyo kutoka kwa Wydad endapo mchezaji atauzwa Kwenda klabu nyingine ,kwani Selemani alikuwa katika klabu ya Fountain gates kwa mkopo akitokea Singida Black Stars. Mwalimu katika msimu huu wa 2024-2025 amefunga magoli 6 katika ligi kuu ya NBC akishika nafasi ya 3 katika orodha ya wafungaji bora

Comments