
Secar Sport
February 4, 2025 at 11:31 AM
Zifahamu Timu 10 za Afrika zinazoongoza kwa namba ya wafuasi katika mitandao ya kijamii🌍
• Al Ahly — 59.6 million
• Zamalek SC — 16.3 million
• Simba SC — 12.6 million
• Raja CA — 11.9 million
• Kaizer Chiefs — 10.4 million
• Orlando Pirates — 6.1 million
• Mamelodi Sundowns — 6 million
• Young Africans — 6 million
• Wydad AC — 5.7 million
• Pyramids FC — 4.7 million
Simba sc ikiwa ndani ya tatu bora kwenye mitandao ya jamii kama: Facebook, Instagram, YouTube, X, Thread, TikTok 👏
