Elimu Ya Afya
Elimu Ya Afya
February 19, 2025 at 10:22 AM
Chakula huwa salama pale tu ambapo kinakuwa hakiwezi kuleta madhara kwa mlaji. 🍖🍱🥘🍛 Tizama video 🎥 hii fupi kwaajili ya kujifunza kuhusu usalama wa chakula. 📱Kwa taarifa na elimu piga namba 199 BURE. #foodsafety

Comments