Elimu Ya Afya
                                
                            
                            
                    
                                
                                
                                February 19, 2025 at 10:22 AM
                               
                            
                        
                            Chakula huwa salama pale tu ambapo kinakuwa hakiwezi kuleta madhara kwa mlaji. 
🍖🍱🥘🍛
Tizama video 🎥 hii fupi kwaajili ya kujifunza kuhusu usalama wa chakula.
📱Kwa taarifa na elimu piga namba 199 BURE.
#foodsafety