Nukta Habari
February 7, 2025 at 12:35 PM
Kwa mujibu wa Qur’ani Tukufu, miezi hii minne haijafanywa mitukufu kwa bahati mbaya bali ni miezi ya amani, ibada maalum na matukio makubwa ya kihistoria yanayohusiana na imani ya Kiislamu.
Kulingana na Sheikh Salim Qahtwan, kiongozi na mwalimu wa dini ya Kiislamu kutoka mkoani Tanga, miezi mitukufu ni Dhul-Qaada, Dhul-Hijjah, Muharram, na Rajab.
https://nukta.co.tz/ifahamu-miezi-mitukufu-kwa-waisilamu-na-umuhimu-wake