
UwepoTv
February 4, 2025 at 05:45 PM
*MKARIBIE MUNGU NAE ATAKUKARIBIA*
Bonya status kusoma zaidi
Bwana Yesu Kristo Mwana wa Mungu aliyehai asifiwe, RUAH YAHUAH, ADONAI T'VAOTH asifiwe.
Ndugu chunguza sumaku kadri inavyoikaribia chumba ndio inavyozidi kuvutwa kunasa.
*Mstari wa Leo*
_*Yakobo 4:8 Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi.* Itakaseni mikono yenu, enyi wenye dhambi, na kuisafisha mioyo yenu, enyi wenye nia mbili._
*Msiwe na Nia mbili*
Huwezi kumkaribia Mungu na shetani kwa wakati mmoja.
Unafanya matendo yake ndio unaemkaribia nae ATAKUKARIBIA
Barikiwa
SERVANT: Franklin_Henocko

❤️
🎉
🙏
3