UwepoTv WhatsApp Channel

UwepoTv

53 subscribers

About UwepoTv

*Psalms 145: 9*.------ _God is good to all, And His tender mercies are over all His works._

Similar Channels

Swipe to see more

Posts

UwepoTv
UwepoTv
2/27/2025, 5:10:47 AM

*FICHUA* *EXPOSE* It is Not myCopyright Barikiwa SERVANT: Franklin_Henocko

😮 1
Video
UwepoTv
UwepoTv
2/26/2025, 4:08:25 AM

*ATAKULINDA NA MABAYA YOTE* MUNGU Baba Muumba wa vyote Kwa jina la Yesu Kristo asifiwe. Mtu wa Mungu ukitaka kulindwa na Mungu basi kwanza Mtegemee yeye katika yote, MUITE Yesu Kristo Mwana wa Mungu akupiganie na kukulinda maana amekuahidi na atatenda ukifanya mapenzi yake Soma _*Zaburi 121:7-8*_ _7 Bwana atakulinda na mabaya yote, Atakulinda nafsi yako. 8 Bwana atakulinda utokapo na uingiapo, Tangu sasa na hata milele._ Usifanye Uovu ukasema utalindwa, maana kufanya Uovu na dhambi ni kuchagua kuwa mtu wa shetani na ukaribu wa Mungu juu yako unaondoka. Barikiwa SERVANT: Franklin_Henocko

Post image
❤️ 🙏 3
Image
UwepoTv
UwepoTv
3/1/2025, 8:54:11 AM

*NI DHAMBI SIO MAPENZI*, Na sio *Mapenzi* ni Ngono na ni uchafu ukuchafuao mbele za Mungu _*Wagalatia 5:19* Basi matendo ya mwili ni dhahiri, ndiyo haya, uasherati, uchafu, ufisadi,_ _*Waefeso 5:3* Lakini uasherati usitajwe kwenu kamwe, wala uchafu wo wote wa kutamani, kama iwastahilivyo watakatifu;_ Barikiwa SERVANT: Franklin_Henocko

Post image
❤️ 2
Image
UwepoTv
UwepoTv
2/28/2025, 7:09:39 AM

*OMBA SAWA SAWA NA MAPENZI YAKE UTAPOKEA*.Bofya fungua channel link usome BWANA YESU KRISTO asifiwe. Je unaomba unaota majibu au haupati? Omba sawa sawa na mapenzi yake. Kwanza onbi unaloomba je ni 1. HAKI yako? 2. Wakati wake kupata hilo? 3. UMEOMBAJE? Usije ukawa unamlaumu Mungu badala ya kushukuru na kuomba kwa unyenyekevu. 4. Unaomba kwa malengo gani au utumiaje ukipata? Soma _1 Yohana 5:14 4 Na huu ndio ujasiri tulio nao kwake, ya kuwa, *tukiomba kitu sawasawa na mapenzi yake, atusikia*._ _2 Mambo ya Nyakati 7:14 4 ikiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekesha, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao._ *Au unaomba hivi!* _Yakobo 4:3 Hata mwaomba, wala hampati kwa sababu mwaomba vibaya, ili mvitumie kwa tamaa zenu._ Barikiwa SERVANT: Franklin_Henocko

Post image
❤️ 🙏 2
Image
UwepoTv
UwepoTv
2/20/2025, 3:49:08 PM

*UPENDELEO WA MUNGU KWAKO MI WA MILELE* Mpokee Yesu Kristo ili ukae upande wa upendeleo wa Mungu. _Zaburi 30:5 Maana ghadhabu zake ni za kitambo kidogo, Katika radhi yake mna uhai. Huenda kilio huja kukaa usiku, Lakini asubuhi huwa furaha._ Fanya TOBA na REHEMA ili ghadhabu ya Mungu isiwe juu yako. Barikiwa SERVANT: Franklin_Henocko

Post image
🙏 2
Image
UwepoTv
UwepoTv
2/23/2025, 4:04:05 AM

*MUNGU HATAKUPUNGUKIA* 1. Usiogope 2. Kuwa moyo wa ushujaa 3. Msiwahofu wabaya 4. MUNGU anakwenda pamoja nawe 5. Hata KUPUNGUKIA Bwana Yesu Kristo Mwana wa Mungu aliyehai asifiwe, KADOSH KADOSH KADOSH ADONAIY T'SVAOTH. Soma _*Kumbukumbu la Torati 31:6 Iweni hodari na moyo wa ushujaa, msiogope wala msiwahofu; kwa maana Bwana, Mungu wako, yeye ndiye anayekwenda pamoja nawe, hatakupungukia wala kukuacha.*_ Barikiwa SERVANT: Franklin_Henocko

Post image
🙏 ❤️ 4
Image
UwepoTv
UwepoTv
2/18/2025, 7:28:35 PM

*MKIKAA NDANI YANGU NAMI NITAKA NDANI YENU,* Asema Mungu wa Majes _Yohana 15:4 Kaeni ndani yangu, nami ndani yenu. Kama vile tawi lisivyoweza kuzaa peke yake, lisipokaa ndani ya mzabibu; kadhalika nanyi, msipokaa ndani yangu._ _Yohana 15:6 Mtu asipokaa ndani yangu, hutupwa nje kama tawi na kunyauka; watu huyakusanya na kuyatupa motoni yakateketea._ Barikiwa CHAGUA kukaa ndani yake Yesu Kristo nae akae Ndani yako ili UOMBE utakako utapata na usitupwe kama tawi lisilozaa likanyauka na kuchomwa moto SERVANT:Franklin_Henocko

Post image
❤️ 🙏 4
Image
UwepoTv
UwepoTv
2/11/2025, 6:30:03 PM

*FURAHINI KWASABABU HII* Kutoa pepo wachafu sio kibali cha kuingia mbinguñi, mapepo kukuogopa na kutii sio wewe kwamba imeandikwa jina lako mbinguñi, hapana Bali _*Luka 10:20 Lakini, msifurahi kwa vile pepo wanavyowatii; bali furahini kwa sababu majina yenu yameandikwa mbinguni.*_ Acha dhambi, mkiri na kumpokea Yesu Kristo kuwa Bwana na Mwokozi wa Maisha yako utafanywa kuwa Mwana wa Mungu na utaandikwa jina lako mbinguñi Barikiwa SERVANT: Franklin_Henocko EBENEZER Shalom Ministry

Post image
❤️ 3
Image
UwepoTv
UwepoTv
2/5/2025, 6:29:39 PM

New EBENEZER Shalom Ministry Logo *1 Samweli 7:12* Ndipo Samweli akatwaa jiwe, na kulisimamisha kati ya Mispa na Sheni, akaliita jina lake *Eben-ezeri* akisema, Hata sasa Bwana ametusaidia. *Waamuzi 6:24* Ndipo Gideoni akamjengea Bwana madhabahu hapo, akaiita jina lake, *Yehova Shalomu* hata hivi leo iko huko katika Ofra ya Waabiezeri. Barikiwa SERVANT: Franklin_Henocko

Post image
🙏 ❤️ 3
Image
UwepoTv
UwepoTv
2/12/2025, 7:42:15 PM

*MUNGU ABBA YAHUAH ATAKUFADHILI* KADOSH KADOSH KADOSH ADONAIY T'VAOTH (Mtakatifu pekee Eh Mungu ABBA YAHUAH usifiwe, uhimidiwe ushukuriwe. Ndugu katika Kristo YAHUSHA HAMASHIACH. Usionevmungu kakupeleka sehemu yenye huoni TUMAINI...usikate tamaa maana yeye ATAKUFADHILI na KUKUPA hitaji Soma _*Isaya 58:11 1 Naye Bwana atakuongoza daima, ataishibisha nafsi yako mahali pasipokuwa na maji, na kuitia nguvu mifupa yako; nawe utakuwa kama bustani iliyotiwa maji, na kama chemchemi ambayo maji yake hayapungui.*_ Barikiwa SERVANT: Franklin_Henocko

Post image
🙏 ❤️ 3
Image
Link copied to clipboard!