
UwepoTv
February 11, 2025 at 06:30 PM
*FURAHINI KWASABABU HII*
Kutoa pepo wachafu sio kibali cha kuingia mbinguñi, mapepo kukuogopa na kutii sio wewe kwamba imeandikwa jina lako mbinguñi, hapana
Bali
_*Luka 10:20 Lakini, msifurahi kwa vile pepo wanavyowatii; bali furahini kwa sababu majina yenu yameandikwa mbinguni.*_
Acha dhambi, mkiri na kumpokea Yesu Kristo kuwa Bwana na Mwokozi wa Maisha yako utafanywa kuwa Mwana wa Mungu na utaandikwa jina lako mbinguñi
Barikiwa
SERVANT: Franklin_Henocko
EBENEZER Shalom Ministry

❤️
3