
UwepoTv
February 28, 2025 at 07:09 AM
*OMBA SAWA SAWA NA MAPENZI YAKE UTAPOKEA*.Bofya fungua channel link usome
BWANA YESU KRISTO asifiwe. Je unaomba unaota majibu au haupati?
Omba sawa sawa na mapenzi yake. Kwanza onbi unaloomba je ni
1. HAKI yako?
2. Wakati wake kupata hilo?
3. UMEOMBAJE? Usije ukawa unamlaumu Mungu badala ya kushukuru na kuomba kwa unyenyekevu.
4. Unaomba kwa malengo gani au utumiaje ukipata?
Soma
_1 Yohana 5:14 4 Na huu ndio ujasiri tulio nao kwake, ya kuwa, *tukiomba kitu sawasawa na mapenzi yake, atusikia*._
_2 Mambo ya Nyakati 7:14 4 ikiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekesha, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao._
*Au unaomba hivi!*
_Yakobo 4:3 Hata mwaomba, wala hampati kwa sababu mwaomba vibaya, ili mvitumie kwa tamaa zenu._
Barikiwa
SERVANT: Franklin_Henocko

❤️
🙏
2