
SOKALOJIA
February 11, 2025 at 01:07 AM
REST DEFENCE & REST ATTACK.
✍🏻 Rest Defence (Muundo Wa ulinzi wakati timu inashambulia).
✍🏻 Ni jinsi timu inavyojiweka kimkakati 'wakati ipo na mpira' ili kuzuia mashambulizi
ya kushtukiza (counterattacks) ikiwa itapoteza umiliki wa mpira.
✍🏻 Rest Defence, inaundwa na wachezaji wote waliopo nyuma ya msitari wa washambuliaji, e.g, Timu ambayo ikiwa kwenye nusu ya Mwisho inakuwa na Muundo wa 3-2-5, wanaounda Rest Defence ni hawa 3-2. ( Picha hapo juu ☝🏻 )
DHUMUNI NI..
inaendelea.....

❤️
🔥
2