
START TEK
February 23, 2025 at 07:38 PM
🍽️ FURSA ZA AJIRA – RESTAURANT YA KIMATAIFA MASAKI 🍽️
Tunatafuta wafanyakazi wenye uzoefu kwa moja ya restaurant zinazoongoza Masaki, Dar es Salaam. Kama unatafuta kazi kwenye mazingira mazuri yenye malipo bora, hii ni nafasi yako!
NAFASI ZINAZOPATIKANA:
✅ Waiters / Waitress
✅ Barista
✅ Shisha Man
✅ Pastry Chef
✅ Demi Chef
✅ Indian Chef
✅ IT, Social Media Manager & Marketer
SIFA ZA MUOMBAJI:
🔹 Awe na uzoefu wa miaka 2 katika nafasi anayotuma maombi.
🔹 Awe na uwezo mzuri wa kuzungumza Kiingereza.
🔹 Awe na urahisi wa kufika kazini (Easy commute).
🔹 Awe tayari kuanza kazi mara moja!
TUNATOA:
✅ Mazingira bora ya kazi
✅ Mshahara mzuri
✅ Usafiri wa kufika kazini
📩 Jinsi ya Kutuma Maombi:
Tuma ujumbe kwa WhatsApp au piga simu kupitia +255 683 068 886 kwa maelezo zaidi.
🚀 USIKOSE FURSA KAMA HII! Jiunge na PrimePursuits kwa fursa zaidi za ajira, biashara, na uwekezaji!
🔗 https://whatsapp.com/channel/0029Vb0ndEg4dTnMS8sJwm0Y
📢 SHARE kwa marafiki zako – Fursa ni kwa wote!
#ajiratanzania #restaurantjobs #primepursuits #fursazaajira
🙏
1