
START TEK
March 1, 2025 at 11:25 AM
🔥 FURSA ZA KUPATA KIPATO KWA KUJIAJIRI (MITAJI MIDOGO) 🔥
Kama unatafuta ajira lakini hupendi kutegemea mshahara wa mwajiri, hizi ni fursa za kujiajiri kwa mtaji mdogo hapa Tanzania:
1️⃣ Biashara ya Miamala ya Fedha (Wakala wa Simu & Bank) 📲
🔹 Mtaji: TZS 500,000 – 1,500,000
🔹 Unachohitaji: Leseni, laini za mitandao, float ya kuanzia
2️⃣ Uuzaji wa Mitumba (Nguo & Viatu) 👕👟
🔹 Mtaji: TZS 100,000 – 500,000
🔹 Nunua mzigo Kariakoo au kwa wauzaji wa jumla kisha uuze online au kwa njia ya mtaa
3️⃣ Ujazaji wa Mafuta ya LPG (Gas) 🛢️
🔹 Mtaji: TZS 300,000 – 1,000,000
🔹 Uuzaji wa mitungi midogo ya gesi kwa watumiaji wa kawaida
4️⃣ Utoaji wa Huduma za IT & Graphics Design 💻🎨
🔹 Mtaji: Laptop + Software (TZS 500,000 – 2,000,000)
🔹 Huduma: Kutengeneza websites, logo, business cards, social media management
5️⃣ Catering Services (Upishi wa Chakula) 🍲
🔹 Mtaji: TZS 200,000 – 1,000,000
🔹 Unachohitaji: Jiko, vyombo, viungo na wateja wa ofisi/mtaa
6️⃣ Kutengeneza Sabuni, Batiki na Manukato 🧼👕
🔹 Mtaji: TZS 50,000 – 300,000
🔹 Uza kwa mtaa, maduka au online
7️⃣ Ufugaji wa Kuku wa Nyama/Mayinzi 🐓
🔹 Mtaji: TZS 500,000 – 1,500,000
🔹 Unachohitaji: Banda, vifaranga, chakula, na soko
8️⃣ Kilimo Cha Muda Mfupi (Mboga Mboga) 🥬
🔹 Mtaji: TZS 200,000 – 1,000,000
🔹 Mfano: Mchicha, matembele, nyanya, hoho (soko ni kubwa kwa hoteli & masoko)
9️⃣ Uuzaji wa Juice & Matunda Baridi 🥤🍉
🔹 Mtaji: TZS 50,000 – 200,000
🔹 Unachohitaji: Blenda, meza ndogo, matunda safi
🔟 Kuwa Dalali wa Nyumba & Viwanja 🏡
🔹 Mtaji: Karama za mawasiliano
🔹 Tafuta nyumba/viwanja vinavyouzwa au kupangishwa kisha utangaze online
🔥 UNATAKA KUWA MFANYABIASHARA?
👉 PrimePursuits inakuletea maarifa na fursa za biashara kila siku!
📢 SHARE na wengine ili nao wanufaike!
👍
1