๐— ๐—ฟ ๐—–๐—ต๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐˜€๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐˜‡๐—ฎ ๐—˜๐—น๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐—ฆ๐—ผ๐—น๐˜‚๐˜๐—ถ๐—ผ๐—ป๐˜€
๐— ๐—ฟ ๐—–๐—ต๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐˜€๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐˜‡๐—ฎ ๐—˜๐—น๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐—ฆ๐—ผ๐—น๐˜‚๐˜๐—ถ๐—ผ๐—ป๐˜€
February 16, 2025 at 04:21 AM
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI โ€“ JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji anatangaza nafasi za ajira kwa vijana wenye sifa stahiki. Nafasi hizi ni kwa wale wenye elimu ya kidato cha nne, sita na shahada, na pia kwa wale wenye ujuzi katika fani mbalimbali. 1. Wenye Elimu ya Kidato cha Nne Sifa za mwombaji: โœ… Awe raia wa Tanzania kwa kuzaliwa โœ… Awe na cheti cha kuzaliwa โœ… Awe na Kitambulisho cha Taifa (NIDA) โœ… Awe na afya njema kimwili na kiakili โœ… Asiwe na kumbukumbu za uhalifu โœ… Awe hajaoa/kuolewa โœ… Asiwe na alama za kuchora mwilini (tattoo) โœ… Asiwe ametumia madawa ya kulevya โœ… Awe tayari kuhudhuria mafunzo ya taaluma ya Zimamoto na Uokoaji โœ… Awe hajawahi kuajiriwa serikalini โœ… Urefu wa kiume: futi 5.7 na wa kike: futi 5.4 โœ… Awe tayari kugharamia hatua zote za usaili โœ… Umri: miaka 18 โ€“ 25 2. Wenye Elimu ya Kidato cha Nne/Sita na Ujuzi Maalum Fani zinazohitajika ni: โœ”๏ธ Udereva wa magari makubwa (leseni daraja E, umri 18-28) โœ”๏ธ Ufundi bomba โœ”๏ธ Uuguzi โœ”๏ธ Taaluma ya Zimamoto na Uokoaji โœ”๏ธ Utabibu โœ”๏ธ Urubani wa Helikopta (umri 18-35) 3. Wenye Shahada Fani zinazohitajika ni: โœ”๏ธ Uhandisi Bahari (Marine Engineering) โœ”๏ธ TEHAMA โœ”๏ธ Uhandisi wa Ndege (Aircraft Maintenance) โœ”๏ธ Lugha (Kiingereza) โœ”๏ธ Ukadiriaji Majenzi (QS) โœ”๏ธ Teknolojia ya Habari (Multi-Media Technology) โœ”๏ธ Uchumi โœ”๏ธ Sheria โœ”๏ธ Ualimu (Education Management) โœ”๏ธ Usafirishaji (Road & Railway Transport Logistics) โœ”๏ธ Uhandisi wa Kemikali (Chemical Processing) Sifa: โœ”๏ธ Sifa zote za waombaji wa kidato cha nne โœ”๏ธ Umri: miaka 18 โ€“ 28 4. Namna ya Kufanya Maombi โœ… Maombi yote yawasilishwe kupitia mfumo wa ajira wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji unaopatikana kupitia kiunga ajira.zimamoto.go.tz โœ… Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 28 Februari 2025 โœ… Mwombaji anapaswa kuambatisha: ๐Ÿ“Œ Barua ya maombi iliyoandikwa kwa mkono ๐Ÿ“Œ Nakala ya cheti cha kuzaliwa ๐Ÿ“Œ Fomu ya uthibitisho wa afya kutoka kwa daktari wa serikali ๐Ÿ“Œ Nakala ya Kitambulisho cha Taifa au namba ya NIDA ๐Ÿ“Œ Picha ya pasipoti ya hivi karibuni ๐Ÿ“Œ Namba ya mtihani wa kidato cha nne/sita ๐Ÿ“Œ Nakala ya vyeti vya elimu (kwa waombaji wa shahada) ๐Ÿ“Œ Barua ya utambulisho kutoka kwa Afisa Mtendaji wa Kijiji/Mtaa Maelezo Muhimu โŒ Nakala za vyeti lazima zithibitishwe na Kamishna wa Viapo au Hakimu โŒ Maombi yanayowasilishwa kwa njia ya posta, mkono au barua pepe hayatapokelewa โŒ Mwombaji atakayewasilisha nyaraka za kughushi au taarifa za uongo atachukuliwa hatua za kisheria ๐Ÿ”ด Unahitaji msaada wa kutuma maombi? Wasiliana na Mr. Chakushangaza kwa namba 0627368679 kwa msaada wa kufungua akaunti na kutuma maombi yako kwa usahihi.

Comments