
Mr Chakushangaza Elimu Solutions
335 subscribers
About Mr Chakushangaza Elimu Solutions
๐๐ซ ๐๐ก๐๐ค๐ฎ๐ฌ๐ก๐๐ง๐ ๐๐ณ๐ โฉโโโโโ โโโ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐ โโโโ โโโโโฉ โ๐ฟ Kufungua account ya Zan Ajira portal (watu wa zanzibar) โ๐ฟ Kufungua account Ajira portal (watu wa bara na visiwani) โ๐ฟ kupata TIN numbe za biashara โ๐ฟ Kuomba chati cha kifo na cha kuzaliwa (kwa watu wa bara tuu) โ๐ฟ kutuma maombi ya kazi (ajira portal na zan ajira portal) โ๐ฟ Kutengeneza CV zenye Ubora โ๐ฟ Kuthibitisha Vyeti vya Kuzaliwa RITA pamoja na Cheti cha Kifo. โ๐ฟMaombi ya Ajira za Serikalini. โ๐ฟ Maombi ya Ajira mpya za UALIMU. โ๐ฟ Ku verify cheti cha kuzaliwa kupitia RITA kwaajili ya kuombea NIDA/kwaajili ya kuombea mkopo HESLB (Kwa watu wa bara tuu) โ๐ฟkuomba AVN number (Award ย ย ย ย ย ย Verification Number) kutoka ย ย ย ย ย ย NACTVET Kwa Wahitimu wa ย ย ย ย ย ย Diploma. โ๐ฟ kufungua account ya TAESA Internship โ๐ฟ Transcript request kwa wanafunzi wa Verterinary, Clinical offers, na walimu wa chekechea etc โ๐ฟNIDA online โ๐ฟKupiga vyeti muhuri wa wakili/advocate stamp โ๐ฟ kuandika barua mbalimbali za kikazi (kusitisha masomo chuoni/kuacha kazi/kusimamisha mkopo/kuomba kazi/na barua nyingine zote za kikazi kwa lugha ya kingereza na kiswahili) โ๐ฟ kufanya assignment kwa wanafunzi wa level zote diploma/degree/masters/ PhD โ๐ฟkufanya research/projects kwa wanafunxi wote wa diploma/degree/masters/PhD ย ย ย ย ย ย ย By Mr Chakushangaza 0627368679 ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐
Similar Channels
Swipe to see more
Posts

*KWA ANAYEHITSJI KUKAMILISHA KUTUMA MAOMBI YA AJIRA ZA ZIMAMOTO NICHEKI INBOX SAIVI* IKIFIKA SAA MBILI KAMILI ASUBUHI USINITAFUTE MAANA SYSTEM INAKUA HAIFANYI KAZI

*MAHITAJI YA KUTUMA MAOMBI ZIMAMOTO* ๐จ๐ฟโ๐ NIDA ๐๐ฝโโ๏ธNo ya form 4 ๐จ๐ฟโ๐barua ya maombi ya kazi โ๏ธbarua toka kwa sheha/mwenyekiti ๐ง๐ผโ๐cheti cha form4/diploma/degree etc ๐จ๐ฟโ๐ registration no za vyuoni kwa wale wa diploma na degree pia tuma na transcript ๐ค๐ฟactive phone no ya simu ๐๐ฝactive email PIA JIBU MASWALI HAYA KAMA ULIVYOJAZA KWENYE NIDA โจ๏ธno ya simu uloandika wakati unajisajili nida ๐ซmajina 3 ya mama yako โจ๏ธ jinala shuke ya msingi ๐ฃmwaka wa kuhitimu shule ya msingi ๐จ๐ฟโ๐kata ulipojiandikisha nida ๐๐ฝโโ๏ธkijiji/mtaa ulipojiandikisha nida ๐ถโ๐ซ mkoa wa makazi yako ๐ถโ๐ซmkoa ulipojiandikisha nida โ๏ธwilaya ulipojiandikisha nida By Mr Chakushangaza 0627 368 679

TANGAZO MUHIMU KWA WANAOTAKA KUJIUNGA NA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI Jeshi la Zimamoto na Uokoaji limeongeza muda wa kutuma maombi ya ajira kwa siku 7 zaidi. Mwisho wa kutuma maombi sasa ni tarehe 07 Machi 2025 badala ya 28 Februari 2025. Kwa wale wenye sifa na nia ya kujiunga na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, mnakaribishwa kuendelea kutuma maombi kupitia ajira.zimamoto.go.tz. Kwa usaidizi wa haraka na kuhakikisha maombi yako yanakamilika kwa wakati, nitafute mimi, Mr Chakushangaza kwa 0627368679. Nikuhakikishie huduma bora na ufanisi katika kukamilisha maombi yako kwa wakati.


*KWA ANAYEHITSJI KUKAMILISHA KUTUMA MAOMBI YA AJIRA ZA ZIMAMOTO NICHEKI INBOX SAIVI* IKIFIKA SAA MBILI KAMILI ASUBUHI USINITAFUTE MAANA SYSTEM INAKUA HAIFANYI KAZI

๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ & ๐๐๐๐๐ ๐๐ฝNamba ya kitambulisho cha mzanzibari na NIDA ๐งNamba ya simu ๐งemail yako โ๐ฟ passport size ๐จ๐ฟโ๐Picha ya Cheti cha form 4 na useme ulipata division ngapi? ๐๐ฝโโ๏ธPicha ya Cheti cha form 6 (kama unacho) na useme ulipata division ngapi ๐ง๐ผโ๐Picha ya Cheti cha Diploma na useme ulioata GPA ya ngapi ๐ฅฑNamba ya mtihani ya form 4 na form 6 (eg S1233/0012/2020) ๐ง๐ผโ๐Picha ya transcript ya diploma ๐๐ฝโโ๏ธPicha ya cheti cha degree ๐จ๐ฟโ๐Picha ya transcript ya degree ๐๐ฝโโ๏ธChuo ulichosoma (diploma au degree) ๐คบ majina yako matatu ๐คบmakazi yako ya kudumu (mkoa,wilaya,kata,mtaa) โ๐ฟreferees wako (hawa aalimu wako wa chuo na secondary). Uwe na majina yao matatu,cheo chake mfano ni mwalimu wa chuo xxx, namba ya simu na email ๐ค๐ฟtaja sehemu ukizofanya field na mwaka wakufanya hiyo field โ๐ฟkama uliwahi kuajiriwa sema uliajiriwa wapi kama nani na mwaka gani? By Mr Chakushangaza 0627368679

โฉโโโโโ โโโ๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐โโโโ โโโโโฉ ๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐ 1. TAX MANAGEMENT OFFICER II (573 POSTS) Key Qualifications Bachelor's Degree or Advanced Diploma in one of the following fields: Taxation, Accountancy, Finance, Public Finance, Economics, Business Administration, majoring in Finance or Accountancy or equivalent qualifications from a recognized Institution/University. Salary Scale: TRAS 4:1 2. POSITION: CUSTOMS OFFICER II (232 POSTS) Key Qualifications Bachelor's Degree or Advanced Diploma in one of the following fields: Taxation, Customs, Accountancy, Finance, Public Finance, Economics, Business Administration, Law or equivalent qualifications from a recognized Institution/University. Salary Scale: TRAS 4:1 3. POSITION: TAX MANAGEMENT ASSISTANT II (253 POSTS) Key Qualifications Diploma in Taxation, Customs, Accountancy, Business Administration, Law or equivalent qualifications from a recognized Institution. Salary Scale: TRAS 3:1 4. POSITION: CUSTOMS ASSISTANT II (154 POSTS) Key Qualifications Diploma in one of the following fields: Taxation, Customs, Accountancy, Business Administration, Law or equivalent qualifications from a recognized Institution. Salary Scale: TRAS 3:1 5. POSITION: ASSISTANT LECTURER (15 POSTS) Key Qualifications, Master's Degree in Taxation, Customs, Accountancy, Law, ICT, Finance, Economics, Public Finance, Business Administration, Mathematics, Statistics, Quantitative Techniques, Clearing and Forwarding or equivalent qualifications from a recognized Institution/University with at least 3.8 GPA at undergraduate studies and an average pass of at least Grade B at Master Degree level. Salary Scale: TRAS 5:1 6. POSITION: DATA MANAGEMENT OFFICER II - (20 POSTS) (DATA ANALYST -18 POSTS; DATA ENGINEER - 2 POSTS) Key Qualifications Bachelor's Degree or Advanced Diploma in one of the following fields: Data Science, Data Engineering, Business Analytics, Computer Engineering, Actuarial Science, Mathematics, Statistics, Computer Science, Software Engineering, Information Technology or equivalent qualifications from a recognized Institution. Must have one of the following certifications: Google Data Analytics Professional Certificate, IBM Data Analyst Professional Certificate, Microsoft Certified: Power BI Data Analyst Associate, SAS Statistical Business Analyst Professional Certificate CompTIA Data+, Meta Data Analyst Professional Certificate, Microsoft Co-pilot for Data Science Specialization, IBM Machine Learning Professional Certificate, Certified Analytics Professional (CAP), OECD Advanced Analytics for Tax Compliance or Certified Advanced Tax Analytics Professional and Possess one of the following knowledge: Statistical Analysis and Machine Learning Techniques, SQL, Database Systems, Data Warehousing, cloud-based data solutions or ETL knowledge. Salary Scale: TRAS 4:1 7. POSITION: HUMAN RESOURCE OFFICER II (11 POSTS) Key Qualifications Bachelor's Degree in one of the following fields:- Human Resources Management, Public Administration, Business Administration, Majoring in Human Resources Management or equivalent qualification from a recognized institution. Salary Scale: TRAS 4:1 8. POSITION: ADMINISTRATIVE OFFICER II (3 POSTS) Key Qualifications Bachelor's Degree in one of the following fields: Human Resources Management, Public Administration, Business Administration majoring in Human Resources Management or equivalent qualifications from recognized institutions. Salary Scale: TRAS 4:1 Key Qualifications Bachelor's Degree in one of the following fields: Transport Management, Logistics Management or equivalent qualifications from a recognized institution. Salary Scale: TRAS 4:1 9. POSITION: ESTATE OFFICER II (15 POSTS) Key Qualifications Bachelor's Degree or Advanced Diploma in one of the following fields: Property and Facilities Management, Civil Engineering, Quantity Survey, Building Economics, Architecture, Land Valuation and Management or equivalent qualifications from a recognized institution. Salary Scale: TRAS 4:1 10. POSITION: ENGINEER II - (12 POSTS) (TEXTILE-3 POSTS; CHEMICAL AND PROCESSING -3 POSTS; MINING-3 POSTS; OIL & GAS-2 POSTS; MECHANICAL ENGINEER-1 POSTS) Key Qualifications Bachelor's Degree or Advanced Diploma in one of the following fields: Mining Engineering. Mineral Processing Engineering, Textile Engineering, Petroleum Engineering, Petroleum Chemistry, Oil and Gas, Chemical and Process Engineering, Electronics Engineering, Electrical Engineering, Marine and Maritime Engineering and Technology, Marine and Mechanical Engineering, Civil Engineering, or equivalent qualifications from recognized institutions. Must be registered by the Engineers Registration Board (ERB) as a Graduate Engineer. Marine engineers must have a Class III certificate and mandatory marine courses). Salary Scale: TRAS 4:1 11. POSITION: GEOLOGIST II (02 POSTS) Key Qualifications Bachelor's Degree in one of the following fields: Geology, geoscience, Earth Science, Applied Geology, Engineering Geology, Geophysics or equivalent qualifications from recognized institutions. Salary Scale: TRAS 4:1 12. POSITION: ACCOUNTS OFFICER II (12 POSTS) Key Qualifications Bachelor's Degree or Advanced Diploma in Accountancy, Finance, Commerce or Business Administration majoring in Accountancy or Finance or equivalent qualifications from a recognized Institution/University. Salary Scale: TRAS 4:1 13. POSITION: ACCOUNTANT II (2 POST) Key Qualifications Bachelor's Degree or Advanced Diploma in one of the following fields: Accountancy, Finance, Public Finance, Commerce or Business Administration majoring in Accountancy or Finance or equivalent qualifications from recognized Institutions plus CPA (T) or ACCA or ACA, or equivalent professional qualifications recognized by NBAA. The ability to use different Accounting packages/software is an added advantage. Salary Scale: TRAS 4:1 14. POSITION: INTERNAL AFFAIRS OFFICER II (10 POSTS) Key Qualifications Bachelor's Degree or Advanced Diploma in one of the following fields: Law, Education, Business Administration, Governance and Ethics, Law Enforcement, Criminology, Sociology, Police Studies, Public Administration, Human Resources Management or its equivalent from a recognized University/Institution. Certification in Ethics and Integrity. Anti-Corruption Studies, Corporate Governance or its equivalent. Training with experience in Maritime Security or Identification or Surveillance, Investigation or CCTV expertise is an added advantage. Salary Scale: TRAS 4:1 15. POSITION: RISK OFFICER II (8 POSTS) Key Qualifications Bachelor's Degree or Advanced Diploma in Econometrics, Data Science, Computer Science, Planning, Economics, Accountancy, Actuarial Science, Statistics, Law, Business Administration Majoring in Accounts or Finance, Mathematics, Taxation, Project Management, Insurance, Risk Management, Finance, Operational Research, or equivalent qualifications from a recognized institution. Possession of a Diploma/Certificate in Risk Management/ Certificate of establishment and implementation course on ISO 31000 Standard is an added advantage. Salary Scale: TRAS 4:1 16. POSITION: ECONOMIST II (6 POSTS) Key Qualifications Bachelor's Degree in one of the following fields: Economics, Agricultural Economics, Economic Planning, or equivalent qualifications from recognized institutions/universities. Knowledge of the application of various statistical and econometric software is an added advantage. Salary Scale: TRAS 4:1 17. POSITION: STATISTICIAN II (4 POSTS) Key Qualifications Bachelor's Degree in one of the following fields: mathematics, statistics, operations research, biometrics, biostatistics, or equivalent qualifications from recognized institutions. Knowledge of the application of various statistical and econometric software is an added advantage. Salary Scale: TRAS 4:1 18. POSITION: LEGAL COUNSEL II (6 POSTS) Key Qualifications Bachelor's Degree of Law or equivalent qualifications from recognized Institutions who have successfully attended postgraduate training at the Law School of Tanzania or a one-year internship. Salary Scale: TRAS 4:1 19. POSITION: PROCUREMENT AND SUPPLIES OFFICER II (5 POSTS) Key Qualifications, Bachelor's Degree or Advanced Diploma in one of the following fields: Procurement and Supplies Management, Materials Management, Logistics Management, Business Administration (specializing in Procurement and Supplies) or equivalent qualifications from a recognized institution). Must be registered by the Procurement and Supplies Professionals and Technician Board (PSPTB) in the Graduate Category. Salary Scale: TRAS 4:1 20. POSITION: LABORATORY OFFICER II (03 POSTS) Key Qualifications Bachelor's Degree or Advanced Diploma in one of the following fields: Biology, Biochemistry, Microbiology, Chemistry, Biotechnology and Laboratory, Chemical and Processing Engineering, Laboratory Science and Technology, or equivalent qualifications from a recognized institution. Salary Scale: TRAS 4:1 21. POSITION: LIBRARIAN II (4 POSTS) Key Qualifications, Bachelor's Degree or Advanced Diploma in Library, Information Studies, Documentation or equivalent qualifications from a recognized Institution. Salary Scale: TRAS 4:1 22. POSITION: ACADEMIC OFFICER II (3 POSTS) Key Qualifications, Bachelor's Degree or Advanced Diploma in Education, Public Administration, Human Resource Management, Business Administration majoring in Human Resource or equivalent qualifications from recognized institutions. Salary Scale: TRAS 4:1 23. POSITION: INTERNAL AUDITOR II (2 POSTS) Key Qualifications Bachelor's Degree or Advanced Diploma in one of the following fields: Auditing, Accountancy, Finance, Commerce or Business Administration majoring in Auditing. Accountancy or Finance) or equivalent qualifications from recognized Institutions plus CPA (T) or ACCA, CISA or CIA and registered by the National Board of Accountants and Auditors (NBAA) as an Authorized Auditor. Salary Scale: TRAS 4:1 24. POSITION: WARDEN II (2 POSTS) Key Qualifications Bachelor's Degree in Education, Sociology, Psychology, Social Work, Nursing or equivalent qualifications from a recognized Institution/University. Salary Scale: TRAS 4:1 25. POSITION: PUBLIC RELATIONS OFFICER II (5 POSTS) Key Qualifications, Bachelor's Degree or Advanced Diploma in one of the following fields: Mass Communication, Marketing, Journalism, Public Relations, Advertising or equivalent qualifications from recognized Institutions. Training in Graphic design will be an added advantage. Salary Scale: TRAS 4:1 26. POSITION: TUTORIAL ASSISTANT (02 POSTS) Key Qualifications Bachelor's Degree in Taxation, Customs, Accountancy, Law, ICT, Finance, Economics, Public Finance, Mathematics, Statistics, Quantitative Techniques, Clearing and Forwarding, Linguistics or equivalent qualifications from Institution/University with a GPA of at least 3.8. a recognized Salary Scale: TRAS 4:1 27. POSITION: PERSONAL SECRETARY II (12 POSTS) Key Qualifications Diploma in Secretarial Studies/Computer Studies or equivalent qualifications from a recognized institution who have passed Shorthand (English) and Hati Mkato (Kiswahili) at a speed of 80 words per minute with computer knowledge in MS-Word, MS-Excel, Internet, Email, MS-Publisher from a recognized institution. Salary Scale: TRAS 3:1 28. POSITION: LABORATORY TECHNICIAN II (4 POSTS) Key Qualifications Diploma in one of the following fields: Biology, Biochemistry, Microbiology, Chemistry, Biotechnology and Laboratory, Chemical and Processing Engineering, Laboratory Science and Technology, or equivalent qualifications from a recognized Institution. Salary Scale: TRAS 3:1 29. POSITION: ASSISTANT ACCOUNTS OFFICER (10 POSTS) Key Qualifications Diploma in one of the following fields: Accountancy, Finance, Business Administration majoring in Accounting or Finance or equivalent qualifications from recognized Institutions. The ability to use different Accounting packages/software is an added advantage. Salary Scale: TRAS 3:1 30. POSITION: RECORDS MANAGEMENT ASSISTANT II (10 POSTS) Key Qualifications Ordinary Diploma in Records Management/Archives or equivalent qualifications from a recognized institution. Salary Scale: TRAS 3:1 31. POSITION: TECHNICIAN II-10 POSTS (CIVIL 03 POSTS; ELECTRICAL 07 POSTS) Key Qualifications Full Technician Certificate (FTC) or Diploma in Civil / Electrical or equivalent qualifications from a recognized institution. Salary Scale: TRAS 3:1 32. POSITION: SECURITY SYSTEM OPERATOR II (09 POSTS) Key Qualifications Diploma in one of the following fields: Information and Communications Technology, Computer Science, Electrical Engineering, Electronics Engineering or equivalent qualifications from a recognized Institution. Salary Scale: TRAS 3:1 33. POSITION: SKIPPER II (8 POSTS) Key Qualifications Diploma in Marine Operations (NTA Level 6) and Certificate of Competency (COC) Class 3 plus one of the Mandatory Certificates: Medical Care, Advanced Fire-Fighting, Survival at Sea, PSSR, or GMDSS or its equivalent. Relevant training in Customs procedures is an added advantage. Salary Scale: TRAS 3:1 34. POSITION: BOAT TECHNICIAN II (08 POSTS) Key Qualifications Diploma in Marine Engineering (NTA Level 6) and Certificate of Competency (COC) Class 3, 2 and 1 Plus one of the Mandatory Certificates: Medical Care, Advanced Fire-Fighting, Survival at Sea, PSS, GMDSS or its equivalent. Training in customs procedures is an added advantage. Salary Scale: TRAS 3:1 35. POSITION: LIBRARY ASSISTANT II (02 POSTS) Key Qualifications Diploma in one of the following fields: Library Studies, Information Studies Documentation or equivalent qualifications from a recognized Institution. Salary Scale: TRAS 3:1 36. POSITION: DECKHAND AUXILLIARY II (02 POSTS) Key Qualifications Form IV or Form VI Certificate plus Basic Technician (NTA Level 4) in Marine Engineering, Shipping and Logistics Management, Marine Operation, Transport and Supply Chain Management. Plus one of the Mandatory Certificates: Survival at Sea, First Aid, Fire fighting, EDH, Rating, Relevant Swimming, Deep Sea Diving Courses or any other equivalent qualifications from a recognized Institution. Salary Scale: TRAS 2:1 37. POSITION: RECEPTIONIST II (20 POSTS) Key Qualifications Form IV or Form VI Certificate with at least three credits passes in English and Kiswahili and who has attained a Certificate in Telephone Operation, Reception, Front Office or equivalent qualifications from a recognized institution. Salary Scale: TRAS 1:1 38. POSITION: DRIVER II (105 POSTS) Key Qualifications Form IV Certificate who have attended Basic Driving Course offered by VETA or any recognized Institution and has Class "C1 or E" Driving License. The candidate must have driving experience of at least one (1) year without causing an accident. Salary Scale: TRAS 1:1 39. POSITION: OFFICE ASSISTANT II (27 POSTS) Key Qualifications National Form IV Certificate with passes in English and Kiswahili. The candidate should have attended a training course in Office Assistance or Cleaning Office Management or equivalent conducted by VETA or any other recognized training institution. Salary Scale: TRAS 1:1 NOTE: All applications must be sent through the Recruitment portal by using the following address https://www.tra.go.tz/vacancies and not otherwise By MR CHAKUSHANGAZA 0627368679

๐ข *TANGAZO MUHIMU โ MAOMBI YA MKOPO* ๐ข Je, bado hujatuma maombi yako ya mkopo? Usikose nafasi yako! โณ โ HESLB โ Dirisha linafungwa 15/02/2025 (Bado siku 12) โ ZHELB โ Dirisha linafungwa 29/02/2025 (Bado siku 26) Tunatoa msaada wa kitaalamu kuhakikisha maombi yako yanafanyika kwa weledi na ufanisi mkubwa. Usisite, muda unayoyoma! ๐ฉ Karibu inbox tufanye kazi. ๐น By: Mr. Chakushangaza ๐ Simu: 0627 368 679

๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐ฌ majina yako matatu ๐Mwaka na tarehe ya kuzaliwa ๐ซฅMahali pa kuzaliwa ๐คJina la shule ya msingi na mwaka kuhitimu ๐งJina la shule ya secondary na mwaka kuhitimu ๐Jina la shule ya form six (advance) na mwaka kuhitimu ๐โโJina la chuo ulichosoma (certificate/diploma/degree/masters) ๐ซUmeoa/kuolewa? ๐จ๐ฝโ๐Namba ya simu na email ๐งWadhamini (wanaweza kua walimu wako wa secondary au chuoni , hawa ni watu ambao wakipigiwa simu na kuulizwa kuhusu taarifa zako wataweza kusema kua ndio wanakufahamu) *GHARAMA NI TSH 5000 HAKUNA PUNGUZO* BY MR CHAKUSHANGAZA 0627368679

๐ข *TANGAZO MUHIMU โ MAOMBI YA MKOPO* ๐ข Je, bado hujatuma maombi yako ya mkopo? Usikose nafasi yako! โณ โ HESLB โ Dirisha linafungwa 15/02/2025 (Bado siku 11) โ ZHELB โ Dirisha linafungwa 29/02/2025 (Bado siku 25) Tunatoa msaada wa kitaalamu kuhakikisha maombi yako yanafanyika kwa weledi na ufanisi mkubwa. Usisite, muda unayoyoma! ๐ฉ Karibu inbox tufanye kazi. ๐น By: Mr. Chakushangaza ๐ Simu: 0627 368 679

Mwongozo wa Kuandaa Ombi la Ajira katika Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Ikiwa unapanga kutuma maombi ya kazi katika Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), ni muhimu kuhakikisha kuwa umeandaa nyaraka zote zinazohitajika kwa usahihi na kwa mpangilio mzuri. Hapa chini ni muhtasari wa mambo muhimu ya kuzingatia: 1. Wasifu Binafsi (Curriculum Vitae - CV) Andika CV iliyo rasmi na yenye mpangilio mzuri. Jumuisha majina ya referees watatu (3) pamoja na mawasiliano yao, ikiwa ni: Anuani ya posta Barua pepe (Email) Namba ya simu 2. Vyeti vya Kitaaluma Ni muhimu kuwasilisha nakala za vyeti vyako vya kitaaluma ambavyo vimethibitishwa (certified) na wakili au mamlaka husika. Vyeti hivyo vinapaswa kujumuisha: Cheti cha Chuo na Transcript Cheti cha Kidato cha Sita (Form 6) Cheti cha Kidato cha Nne (Form 4) Cheti cha Kuzaliwa Vyeti vya taaluma au utaalamu kutoka kwa bodi au mamlaka husika 3. Barua ya Maombi Iandikwe kwa Kiswahili au Kiingereza kwa lugha rasmi na yenye mpangilio mzuri. Ielekezwe kwa: KAMISHINA JENERALI (Commissioner General) Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) S.L.P 11491, Mchafukoge - Dar es Salaam Kwa kuandaa nyaraka hizi kwa uangalifu na kuhakikisha zinakidhi mahitaji yote, utaongeza nafasi yako ya kufanikiwa katika maombi yako ya kazi TRA. *KAMA HUNA CV njoo inbox nikuandalie CV kali sana kwa bei nafuu* By Mr Chakushangaza 0627368679