
Mr Chakushangaza Elimu Solutions
February 27, 2025 at 06:30 AM
ππππ πππππππππππππππ ππππππππ ππ πππ πππππ ππππππ ππ πππππ ππππππ & πππππ
ππ½Namba ya kitambulisho cha mzanzibari na NIDA
π§Namba ya simu
π§email yako
βπΏ passport size
π¨πΏβπPicha ya Cheti cha form 4 na useme ulipata division ngapi?
ππ½ββοΈPicha ya Cheti cha form 6 (kama unacho) na useme ulipata division ngapi
π§πΌβπPicha ya Cheti cha Diploma na useme ulioata GPA ya ngapi
π₯±Namba ya mtihani ya form 4 na form 6 (eg S1233/0012/2020)
π§πΌβπPicha ya transcript ya diploma
ππ½ββοΈPicha ya cheti cha degree
π¨πΏβπPicha ya transcript ya degree
ππ½ββοΈChuo ulichosoma (diploma au degree)
π€Ί majina yako matatu
π€Ίmakazi yako ya kudumu (mkoa,wilaya,kata,mtaa)
βπΏreferees wako (hawa aalimu wako wa chuo na secondary). Uwe na majina yao matatu,cheo chake mfano ni mwalimu wa chuo xxx, namba ya simu na email
π€πΏtaja sehemu ukizofanya field na mwaka wakufanya hiyo field
βπΏkama uliwahi kuajiriwa sema uliajiriwa wapi kama nani na mwaka gani?
By
Mr Chakushangaza
0627368679