Crown Media
Crown Media
February 27, 2025 at 10:14 AM
Akizungumza na @tony_sixteen nyota wa muziki hapa nchini @diamondplatnumz ameeleza namna ambavyo kufanya utofauti kwenye kila jambo kumemsaidia kumpa ukubwa. “Kila kitu kinawezekana na nafikiri wakati mwingine tukubali kwenda tofauti na kwenda extra yani lazima uende extra ili watu wakuzungumzie…” ~ @diamondplatnumz #crownmuziki #hapaninyumbani
❤️ 👍 2

Comments