Crown Media
                                
                            
                            
                    
                                
                                
                                February 27, 2025 at 02:02 PM
                               
                            
                        
                            Leo Buruda la @kasrilakikeke litasimamiwa na Stella Mbuge @officialstellambuge Top model Miss Tanzania 2011.
Sikiliza KASRI kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia saa 12:00 Jioni hadi saa 3:00 Usiku, unaweza kutufuatilia kupitia 92.1 Mhz, Radio Box & Tune In CROWN FM, Youtube CROWN MEDIA na kwenye kisimbuzi cha Azam ni chaneli namba 67.
#crownmedia #hapaninyumbani
                        
                    
                    
                    
                        
                        
                                    
                                        
                                            ❤️
                                        
                                    
                                    
                                        1