Yuston Media
Yuston Media
February 23, 2025 at 06:58 PM
MAISHA YA ELIZA ❤️ Sehemu ya 01 "huyu mtoto wako ntakuja nimuulie mbali ," Aliongea Seba kwa hasira huku akimsukuma mtoto huyo na kumdondosha chini ya kitanda ,na mtoto huyo akaanza kulia , " Jamani hebu muache mwanangu kwani kafanyaje mpaka umsukume hivyo," Aliongea mke wa Seba na kusababisha vurugu ndani ya nyumba yao , "We huoni kama amekojolea shati langu mi nakwambia ntakuja nikavunje vunje haka katoto Kako " Seba aliongea na kumalizia kumpiga konzi mtoto huyo mwenye miaka mitatu , "Jamani baba John mbona unanipigia mwanangu lakini " Mkewe alisikia uchungu baada ya mtoto wake kupigwa konzi na mumewe , "Halafu wewe usiniite baba John ,mimi sina mtoto kama huyo sawa baba yake ni mchonga barabara na sio mimi Malaya mkubwa wewe" Aliongea Seba kwa hasira na kumfanya mkewe aanze kulia , na hayo ndio yalikuwa maisha yao kijijini hapo , Mama yake Eliza alikuwa ni mama ntilie kando ya barabara iliyopita kijijini hapo ,na barabara hiyo ilikuwa inatengenezwa na kampuni ya Wachina ikiwa na wafanyakazi waswahili , mmoja wa wafanyakazi hao alikuwa anaitwa Baraka , Baraka alikuwa mpole sana tena mchapakazi hodari na kila mchina alimpenda kwenye kampuni hiyo , Siku moja wakati wa chakula cha mchana wafanyakazi wote wakiwa wanapata chakula Baraka alienda kisimani kisima hicho kilichimbwa kwa dharula tu na kampuni hiyo kwa ajili ya matumizi ya utengenezwaji wa barabara, lakini wakati ananawa akaja Eliza na ndoo yake kwa ajili ya kuchota maji , Eliza ni mtoto wa mama Eliza yule mama ntilie na Eliza alikuwa kamaliza darasa la Saba na alikuwa anasubilia matokeo yaani Eliza alikuwa mdogo kiasi yaani ni hawa wasichana wanaobarehe , Eliza alikuja hapo kwa ajili ya kumsaidia mama yake kazi za hoteli , Baraka akamtongoza Eliza lakini Eliza akakataa , na kutokana wako mbali kidogo ya watu Baraka akamkaba Eliza na kumdondosha chini huku akimziba mdomo asipige kelele, Eliza alijitahidi kujinasua mikononi mwa Baraka lakini hakuweza Baraka alimzidi nguvu na vile alizibwa mdomo aliishiwa nguvu kabisa Baraka akam baka Eliza na asijue kuwa Eliza ni bikira yaani hajawahi kuguswa kabisa na mwanaume hapo kijijini, Damu zilimtoka Eliza lakini Baraka hakujali alizidi kumshindilia limuhogo lake mpaka anamaliza ndo anagundua kuwa alimuumiza mtoto wa watu maana zile damu hata yeye zilimchafua ,Baraka akili ndo zikamjia kuwa alichokifanya sio kitu kizuri , Eliza nae alilia huku akibeba ndoo yake bila maji na kuchechemea kurudi hotelini kwa mama yake , Mama yake alipomuona akachanganyikiwa na kumuuliza kulikoni Eliza akaeleza kila kitu , Mama yake akaenda ofisini kwa wale waliomwajili Baraka na kushtaki , Wachina nao wakaona Baraka ameitia aibu kampuni wakamuita Baraka na kumuuliza kama ni kweli ,Baraka hakukataa maana hata yeye alishangaa kwanini amefanya vile , kutokana na Baraka kuishi vzr na mabosi wake wakamwambia Baraka atakatwa mshahara wake ili Eliza akatibiwe mpaka apone ,Baraka akakubali , Mwezi mmoja ulipita Eliza akapona lakini Eliza alikuwa kashika mimba, ,, Itaendelea Maoni kama ni nzuri tuendelee nayo kama ni mbaya tuachane nayo.........nawasubiria

Comments