Aviation Media Tanzania
Aviation Media Tanzania
March 1, 2025 at 06:33 AM
Shirika la ndege la United Airlines imefikisha ndege 1,000 baada ya kupokea Boeing 737-9 MAX (N77584) na kulifanya shirika hilo kuongoza ulimwenguni. Mashirika yanayofuata kuwa na ndege nyingi ni Delta Airlines likiwa na ndege 985 na American Airlines, ndege 978.
Image from Aviation Media Tanzania: Shirika la ndege la United Airlines imefikisha ndege 1,000 baada ya ku...

Comments