DIRA LEO
DIRA LEO
January 31, 2025 at 05:41 AM
Kwenye Jukwaa la JamiiForums, mwaka 2009, mdau mmoja @Mzizi wa Mbuyu alizua mada hii akijaribu kutafuta asili ya msemo huu. Wadau walipokea mjadala huu kwa kila mmoja kutoa alichonacho kuhusu huu msemo ikiwa ni sehemu ya masimulizi aliyosimuliwa au dhana alizosikia kwa watu. Kiujumla mjadala ulitiririka namna hii:

Comments