DAWA ZA ASILI
                                
                            
                            
                    
                                
                                
                                February 18, 2025 at 09:05 AM
                               
                            
                        
                            Inapunguza sukari mwilini Kwa wenye kisukari .. unapara miba  kisha unamenya mabapa yake hayo..kisha wakata kama kabichi..unachanganya na nyanya chungu na vitunguu vikubwa kama vitano chumvi Kwa mbali . Kisha chemsha Kwa pamoja Kula..na mchuzi kunywa