DAWA ZA ASILI
DAWA ZA ASILI
February 18, 2025 at 09:05 AM
Inapunguza sukari mwilini Kwa wenye kisukari .. unapara miba kisha unamenya mabapa yake hayo..kisha wakata kama kabichi..unachanganya na nyanya chungu na vitunguu vikubwa kama vitano chumvi Kwa mbali . Kisha chemsha Kwa pamoja Kula..na mchuzi kunywa

Comments