KISHIMBA_TV
KISHIMBA_TV
February 20, 2025 at 11:01 AM
Timu ya Taifa ya Wanawake Twiga Stars inashuka dimbani hii leo kumenyana na Equatorial Guinea kusaka nafasi ya kufuzu WAFCON 2026, mchezo huu utapigwa majira ya saa 10 jioni kwenye dimba la Azam Complex. Kila la Kheri Twiga Stars.🔥

Comments