Twaha Mwaipaya
Twaha Mwaipaya
February 9, 2025 at 07:55 AM
Derick Magoma aliyekuwa mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Manyara amefarika leo tarehe 09 February katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili, alipokuwa akipatiwa matibabu. Pumzika Kaka Derick Magoma, umevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo umeumaliza, Imani umeilinda.
😢 😭 🙏 8

Comments